Hapa kazi tu: Tutalia na kusaga meno, a short time to come

Haaa huyo uliyemtaja anaingiaje hapa? Kichwa chako kiko kwenye autopilot?

Kama imekugusa WEWE NI JIPU au una uhusiana na MAJIPU!! Tulia tu. Huyo jamaa hapo juu directly au indirectly ni JIPU. Unajua hilo, acha kuzuga! Ndo maana nimemtaja ktk uzi wa jipu lenzake!
 
Katika awamu ya tano kuna mazuri na mabaya.
Ni kweli kuna baadhi ya mambo tutakuja kujuta.
Tuzidi kusisitiza utawala wa sheria na kukembea dalili zote za udikteta.
 
Kipindi cha mpito tu. . . .. Jasho kidogo livuje ili tusitoke damu mbele ya safari

Nchi zinapiga hatua kwa kupitia kumwaga damu. Kinachofanyika hapa ni kuweka mambo sawa kuzuia ambalo lingeweza kuzidi kupotosha nchi pengine kutuelekeza huko.

Tuunge mkono hizi juhudi, wakati wa siasa umepita mambo yatakaa sawa. Ufahamu wa watu utarudi na kila mtu atawajibika katika nafasi yake.

Hapa kazi tu. Piga Mwendo watawala.
 
jambo la maana so far ni hili la kuwabana wakwepa-kodi.

lakini kutia jela mtumishi ati kisa kachelewa kazini au kaenda kunywa chai au kunyima likizo halali kwa kisingizio cha hapa kazi tu hapo tunapanda mbegu mbaya ya udikteta.
 
HAKIKA SIASA ZA AFRIKA NI KAMA SURA YA YAI!
Hawa wanashamgili udictator huku wakililia bunge litunge sheria?
 
hayo mambo yameshindkan sasa yapata miaka 50 tumebadil systeam hakuna cha bure hata kwenye vitabu vitakatifu hakuna cha bure bwana najuavtutanyooka tukishazooea maan ni mwanzo two
 
Naungana na rais J PM kwa 100%.watumishi wa umma wamejisahau xana na kugeuza ofc kama vyumba vyao bnafc , na unawezaje kwenda likizo wakat wanainch wanaandamwa na matatzo ,Wazir mkuu&rais walishaxema mda wa watumish wazembe umekuisha kama VP wajipime, wajitathimin ukiona huez acha maana watu wenye cfa wapo weng. Asanteeen
 
Sheria na Wajibu huenda pamoja.
Ukichelewa kazini na nikikufukuza kazi siyo ditatorship - nimekufukuza kazi kwa sababu umechelewa kazini!!

Unatakiwa kuonywa nadhani mara mbili au tatu tena kwa maandishi na kwa mdomo kabla ya kufika huko kwenye kufukuzana.
 
Kwenye private sector kuchelewa kazini ni kosa la kafukuzwa kazi! Wizi au kusaidia wizi na ubadhirifu wa namna yoyote ile ni kosa la kufukuzwa kazi na ikibidi kupelekwa mahakamani!!

Tatizo kubwa ilikuwa watu kugeuza kazi za serikali "shamba la Bibi"! Amepatikana wa kusimamia sheria ambazo zimo katka miongozo ya utumishi serikalini mnaanza kusema tunatengeneza dictator!!

Mbona hujawahi kuwalalamikia makampuni bimafsi kwamba ni madikteta!!?

Tunahitaji tunyoshwe ili nchi iendelee!! Kulea uzembe kunaleta umaskini wa nchi ambao tumekuwa nao kwa miaka 54 ya UHURU wetu sasa

#HapaKaziTu
 
Zipo muda mrefu na zimekuwa zikifuatwa

Mzee Tupatupa

Sasa utwambie maadam ushasema zilikuwepo na zilifatwa, haya tunayoyaona leo yametokeaje? na sasa kama zilifatwa mbona watu waliendelea kufanya business as usual na wengine wakawa juu ya hizo sheria, ama ndo kufatwa kwenyewe huko? mwisho, tueleze ni kitu gani nchi imefaidika nacho kimaendeleo ya walalahoi kama matokeo ya sheria zenu kufatwa?
NB: mimi siyo mzee.
 
kwa kweli kusema kweli mm ni mpinzani pure lakini napongeza na kusifia kila maamzi yanayofanywa na raisi, kila hatua anayoichukua naisifu, maana wanaopinga kazi anayoifanya magufuli ni hao hao wana ccm maana ndio wanaoisoma namba, kumuweka mtu lockup kwa hili pande zote mbili zuna makosa mfanya kazi kavunja sheria, na aliye muweka ndani kavunja sheria, lakini namupingeza magufuli maana nchi hii ilikuwa epoteza nidhamu, uwajibikaji, wizi wa malinya umma anayepinga hayo basi ni sehemu ya mtu anayefaidika na uchafu huu
 
Back
Top Bottom