Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,630
Unatakiwa kuonywa nadhani mara mbili au tatu tena kwa maandishi na kwa mdomo kabla ya kufika huko kwenye kufukuzana.
Mkuu una argue na mtu ambaye huenda yuko kwenye ajira isiyo Rasmi hivyo lazima aone kila kitu ni sawa tu.