SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,947
- 2,033
- Thread starter
- #21
we kilaza kumbuka silaha za isis zilitoka hukohuko kwa hao amerika na wenzie kipindi cha gadafi na sadam. Kushabikia usa inaitaji uwe chizi kidogo
mkuu usimsahau osama.Alipikwa wapi,kabla hawamwita gaidi,america walimwita kijana wao wakimtumia katka mipango yao.kuitetea america katika unafik inahitaj uwe mnafiki kidogo