Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwa mtu mwenye akili akiitazama hii picha atagundua kitu special kutoka kwa vijana wa kimasai hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tunamtaka tundu Lissu akipitishwa na chademaKwa mtu mwenye akili akiitazama hii picha atagundua kitu special kutoka kwa vijana wa kimasai hapo chiniView attachment 980257
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tunamtaka tundu Lissu akipitishwa na chadema
Here we are in the visual ciycle again... Visual cycle inaanza pale mara baada ya uchaguzi i.e. Kupinga matokeo na kusema wameiba----matamko yanatolewa kuwa wapinzani sasa wataelekeza nguvu zote kwenye tume huru ya uchaguzi--------baada ya mwaka wanakuwa wamesahau--------wanaanza kutaja candidate anayefaa kuwavusha wapinzani-------------wanajipa matumaini kuwa safari hii ni lazima washinde-----------kampeni zinaanza na internet inajaa picha zikionyesha mafuriko ya mikutano ya wapinzani-----------uchaguzi unakuja wanashindwa-------------back to square one!Watanzania tunamtaka tundu Lissu akipitishwa na chadema
It's called "vicious cycle" not "visual circle"!Here we are in the visual ciycle again... Visual cycle inaanza pale mara baada ya uchaguzi i.e. Kupinga matokeo na kusema wameiba----matamko yanatolewa kuwa wapinzani sasa wataelekeza nguvu zote kwenye tume huru ya uchaguzi--------baada ya mwaka wanakuwa wamesahau--------wanaanza kutaja candidate anayefaa kuwavusha wapinzani-------------wanajipa matumaini kuwa safari hii ni lazima washinde-----------kampeni zinaanza na internet inajaa picha zikionyesha mafuriko ya mikutano ya wapinzani-----------uchaguzi unakuja wanashindwa-------------back to square one!
Wamelipwa shilingi ngapi kwa hili tangazo? Nasikia kesho kutwa anaongea na BBC Brussel, muambie tu apitie nyuzi za jF uko uzi humu ulizungumziaga wakati flani Nyerere JK akiendesha kikao cha upatanishi wa Waganda baada ya Amin kuondolewa aliwaambia wapumzike kidogo wasikilize BBC. Kwa mshangao BBC ikawa inazungumzia agenda za siri za hicho kikao. Zimefikaje BBC? Ndipo pale Nyerere alipo sema wazungu wametushinda kwenye sayansi za anga sio hizi akili za kwenda na moja kichwani.
Here we are in the visual ciycle again... Visual cycle inaanza pale mara baada ya uchaguzi i.e. Kupinga matokeo na kusema wameiba----matamko yanatolewa kuwa wapinzani sasa wataelekeza nguvu zote kwenye tume huru ya uchaguzi--------baada ya mwaka wanakuwa wamesahau--------wanaanza kutaja candidate anayefaa kuwavusha wapinzani-------------wanajipa matumaini kuwa safari hii ni lazima washinde-----------kampeni zinaanza na internet inajaa picha zikionyesha mafuriko ya mikutano ya wapinzani-----------uchaguzi unakuja wanashindwa-------------back to square one!
Mwambie na jiwe akafanye interview na BBC au cnn
Msaidie kazi wakala tena? Sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli ziro na Lisu nae anawategemea watu kama nyie kwenda Ikulu?
Haya ndugu yangu Mmawia.