Hans Poppe: 'Kwa Okwi yanga wameliwa'..!!

Kwani Galatasaray wakimuuza Drogba, timu itayomnunua si ndio itakuwa third party? Ilimradi ameuzwa kihalali kwa second party, basi second party ina haki ya kumuuza kwa rhird party, third party kwa fourth party..... Hadi mwisho wa dunia. Sasa utofauti na hili la Okwi ni upi? Lakini unajua kwamba FIFA ni mtandao mmoja ambapo uhamisho hufanyika kwa kutumia Mfumo wa Mlingano wa Uhamisho, Transfer Matching System? Mchezaji yeyote mwenye utata hawezi kupitishwa na mfumo huo, kumbuka Asamoah alivyoshindwa kusajiliwa Yanga mara ya kwanza. Kwa hivyo uhamisho ukifanywa na FA ya nchi yoyote mwanachama wa FIFA, kama huu wa FUFA kwa Okwi, unakuwa umefanywa na FIFA yenyewe. Upo?

Mkuu,

Kunaweza kukawa na Uhalali wa Okwi kua Yanga,
Ila ukweli mmoja tu unabaki kua AHMED MAGARI wa Yanha ni MUHUNI. Hii sio mara ya kwanza kufanya uhuni kama huu. Yaani inawezakua ni halali but haipo ki-proffessional zaidi.

Mbinu mbinu za Ujasusi ni Uhuni,
Kuficha ficha mambo hadi kuibukia "deadline" ndio wanamuonyesha ni Uhuni,
Kusainisha mchezaji wa Simba kwa mbwembwe ni Uhuni,
 
Sisi wana Yanga tunafahamu sana machungu ya Okwi aliyotutendea, sasa ni wakati wa wana Simba nao kujua makali yake, kwa aina ya magoli kipa walionao, hakuna shaka 'watalokota' mipira isiyopungua 6 katika nyavu zao pale hizi timu zitakapokutana. Nimesikia dogo kawaambia Waganda kuwa anakuja Tanzania kuifunga Simba bao 6 na hivyo kuweka rekodi ya karne kuwa mchezaji wa kwanza nchini Tanzania kuchachafya timu pinzani (mtani) kwa nyakati tofauti kwa bao nyingi. Sasa hii habari ndiyo wana Simba hawataki kabisa kuisikia. Jana Rage mwenyewe amekiri kuwa taarifa za Okwi kusajiliwa Yanga hazijampendeza mwana Simba yeyote ndani na nje ya Tanzania.

mkuu inabidi msimu huu hawa jamaa nao walie, raundi ya kwanza tu wanakimbizana kisa nafasi ya nne wakati mambo bado kabisa ndugu yangu, mbona hatare,
 
Mkuu,

Kunaweza kukawa na Uhalali wa Okwi kua Yanga,
Ila ukweli mmoja tu unabaki kua AHMED MAGARI wa Yanha ni MUHUNI. Hii sio mara ya kwanza kufanya uhuni kama huu. Yaani inawezakua ni halali but haipo ki-proffessional zaidi.

Mbinu mbinu za Ujasusi ni Uhuni,
Kuficha ficha mambo hadi kuibukia "deadline" ndio wanamuonyesha ni Uhuni,
Kusainisha mchezaji wa Simba kwa mbwembwe ni Uhuni,

Bila kusahau kuwa football na footballers wengi wa hapa bongo ni wahuni tu. Kwa hiyo si ajabu kuona na mambo ya usajili nayo yanaendeshwa kihunihuni hivo hivo!
 
Mkuu,

Kunaweza kukawa na Uhalali wa Okwi kua Yanga,
Ila ukweli mmoja tu unabaki kua AHMED MAGARI wa Yanha ni MUHUNI. Hii sio mara ya kwanza kufanya uhuni kama huu. Yaani inawezakua ni halali but haipo ki-proffessional zaidi.

Mbinu mbinu za Ujasusi ni Uhuni,
Kuficha ficha mambo hadi kuibukia "deadline" ndio wanamuonyesha ni Uhuni,
Kusainisha mchezaji wa Simba kwa mbwembwe ni Uhuni,

Hii kali ya mwaka yaani Okwi ni mchezaji wa Simba? Hivi huu umbumbu mnautoa wapi mpaka kufikia kuwa fikira kiasi hichi? mlipo muuza Tunisia bado ni wenu?
 
Mkuu,

Kunaweza kukawa na Uhalali wa Okwi kua Yanga,
Ila ukweli mmoja tu unabaki kua AHMED MAGARI wa Yanha ni MUHUNI. Hii sio mara ya kwanza kufanya uhuni kama huu. Yaani inawezakua ni halali but haipo ki-proffessional zaidi.

Mbinu mbinu za Ujasusi ni Uhuni,
Kuficha ficha mambo hadi kuibukia "deadline" ndio wanamuonyesha ni Uhuni,
Kusainisha mchezaji wa Simba kwa mbwembwe ni Uhuni,
Inawezekana, lakini nionavyo, FIFA yenyewe ni genge la wahuni. Inaingiaje akilini Qatar iipiku Uingereza n nchi nyengine kweye kinya'nganyiro cha kuandaa fainali za Kombe la Dunia 2018 kama si kwa uhuni. Au unakumbuka Afrika ya Kusini ilivyokosa kuandaa fainali kama hizo kwa mara ya kwanza kwa sababu tu mjumbe wa Kamati ya FIFA iliyoteua waandaaji alipiga kura kinyume na maagizo ya Kanda ya Oceania aliyoiwakilisha? Au kauli za hivi juzi kule Oxford za Blatter mweyewg kuhusu nani bora baina ya Ronaldo na Messi. Uhuni ndio mtindo wa FIFA mkuu.
 
Kama awali walisema wana ICT kutoka FUFA, na tunasoma FUFA sasa imewasiliana na FIFA kujua kulikoni basi kuna kiza kinene !!

Just imagine kwi kwi anacheza this weekend na bado wanapigwa bao ????
 
Hii kali ya mwaka yaani Okwi ni mchezaji wa Simba? Hivi huu umbumbu mnautoa wapi mpaka kufikia kuwa fikira kiasi hichi? mlipo muuza Tunisia bado ni wenu?

Mkuu, mkataba wa kuuziana unakamilika pale tu pande zote mbili zinapotimiza makubaliano ya mkataba.

Yaani Simba wanamtoa mchezaji, then Etoile wanatoa hela. Sasa likishindikana moja katika hilo basi hakuna mkataba hicyo hakuna mauziano.
 
Hili sakata la Okwi ni Complex, hebu soma maneno ya Okwi mwenyewe hapa chini: -

Okwi – My focus is not CHAN competition



By MTNFootball.comMonday Oct 28, 15:00 +0200

Emmanuel-Okwi~24.jpg
Emmanuel Okwi

Uganda's top striker Emmanuel Okwi has said he is not eager on taking part in the 2014 Africa Nations Championship.

"I am working hard with SC Villa now that I rejoined few weeks ago. I want to get back my sharpness for goal and hopefully join a big club in the January transfer window," said the striker in an interview at the Serena Hotel.

Okwi rejoined Uganda's most decorated side SC Villa after he complained to FIFA that Tunisian side Etoile du Sahel was not fulfilling their contractual obligation.

The player netted his first goal against Bright Stars in his first game in the league over ten days ago.

"I am enjoying my time in SC Villa and the training is really great. I am sure I will pick up my form and big teams will come running for my signature for me to make a transfer in January," added the striker.

He rubbished talk that he needs to complete six months with SC Villa as FIFA ordered.

"I am a free player and playing for SC Villa is simply to keep fit," added the player, whose former club Simba FC of Tanzania also complained to the world governing body that the player should have returned to their team since Etoile du Sahel did not pay them for the transfer.

Former Don Bosco FC defender in DR Congo, Godfrey Walusimbi, is also another player featuring for SC Villa after FIFA released him to the Ugandan club after he complained of a contractual breach (Source: http://www.mtnfootball.com/africa/uganda/news/2013/oct/28-mfocunchacompetition.html)

Hebu soma vizuri hii kauli ya Okwi ya Oktoba 2013 muda mrefu kabla ya kuhamia Yanga:

"I am sure I will pick up my form and big teams will come running for my signature for me to make a transfer in January".

Hakuna ubishi Okwi alidhamiria kuhamia timu kubwa kama Yanga ifikapo Januari 2014 ndicho alichokifanya.

Tusubiri maamuzi ya vikao vya mashirikisho yetu ya mpira.
 
Back
Top Bottom