MPENDA USAWA
Senior Member
- Oct 15, 2012
- 169
- 30
Wakuu naombeni ushauri jamani,nipo ktk mikakati ya kumtafuta msichana ambaye baadaye atakuja kuwa mke....
Kuna msichana ambaye tulisoma woote huko kilimanjaro na alikuwa dem wangu kipindi hiko ila nilipomaliza form 4 nilimuacha anaendelea na shule,me nkaenda mbeya form 5 na 6..baadaye udsm hatukuonana mpk nimemaliza chuo kama miaka 7 imepita,juzi juzi nkapata kazi Arusha na yeye kwao ni Arusha basi tukakuta tukaongea mengi sana ila mwenzangu tyr alikuwa kashapata mtoto ila me nkaona haina shida..tukafanya yeetu ila nikamueleza nataka awe wangu wa future naona mwenzangu akaniambia nitafute mtu mwengine anaogopa anaweza kunizingua then nkampa lawama...huyu msichana nampenda sana..na nilikubaliana na hali niliomkuta nayo coz muda mrefu hatujaonana!!!ila ndo ameniambia ivo na kama nikisikia hamu nae nimtafutee!!jamani nashindwa kuelewa naombeni ushauri wenu wakuu!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kuna msichana ambaye tulisoma woote huko kilimanjaro na alikuwa dem wangu kipindi hiko ila nilipomaliza form 4 nilimuacha anaendelea na shule,me nkaenda mbeya form 5 na 6..baadaye udsm hatukuonana mpk nimemaliza chuo kama miaka 7 imepita,juzi juzi nkapata kazi Arusha na yeye kwao ni Arusha basi tukakuta tukaongea mengi sana ila mwenzangu tyr alikuwa kashapata mtoto ila me nkaona haina shida..tukafanya yeetu ila nikamueleza nataka awe wangu wa future naona mwenzangu akaniambia nitafute mtu mwengine anaogopa anaweza kunizingua then nkampa lawama...huyu msichana nampenda sana..na nilikubaliana na hali niliomkuta nayo coz muda mrefu hatujaonana!!!ila ndo ameniambia ivo na kama nikisikia hamu nae nimtafutee!!jamani nashindwa kuelewa naombeni ushauri wenu wakuu!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums