bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
heeee ndo semeji tena???
Na hayo macho ya mlegezo, kifua kipana, na juu ya yote famous guy in town.... mama yangu watoto wa kike walikuwa wanapanga foleni hapo. Huwa wanakufa mara mbili mtu akijaariwa kuchanganya hizo character. Mnisahihishe kama nimekosea ila nahisi huo ni ukweli mtupu. Kama ingelikuwa ni leo, na haka kagonjwa chetu haka..mhhh sijui tungelimjua madiba kweli?enzi hizo jamaa akikutokea kulenga ngum
mmh kwenye red ukanipotosha wa nyumbani duh!!! (i had to use xtre calories)
mmh
mmh!!
bluu ukapatia, red no ukaendeleza filler word yako!!!
Madame unashangaa tena wakati kishasema mmasai huoni kama kajitahidi shemeji yako
dunia ya leo inabidi ujinade mwenyewe najiita, hila nina sumaku ya kuvuta wanavyodai.
kama ungejua FL1 wewe ndio sababu ya mi kujiunga humu ndani unauvutio fulani fulani hivi na maneno yako. hiyo avatar yako na hisi _aiko tofauti na chombo chenyewe if not better.
no coment handsomeboy
wamasai hawana hizo mwambie akueleze vizuri yeye wa wapi!!! ndugu zangu hawna shida ya 'h'....(unawajua wenye tatizo la hiyo herufi FL1 my dear?)
hahaaa si Mungik huyu mchuchu wako.....ila wale wa kwenye kona kule karibu na masangara.....wengi wanshida na hizo kitu!!!hata sijui habu niambia shost asije kuwa chinja chinja ( mungiki)
hahaaa si Mungik huyu mchuchu wako.....ila wale wa kwenye kona kule karibu na masangara.....wengi wanshida na hizo kitu!!!
aliishi kwa kufuata maagizo ya Muumba wake hata akaweza kuutunza uasili wakesijui enzi za ujana wake alikuwaje
mwenyewe kaweka pozi lol
Ukiwa na hekima utakumbukwa tu, Mungu azidi kumpa afya njema
sijui kwajili sijavaa miwani?but mmh kiti kama kinataka kudondoka?its like alikuwa ameweka pozi apige picha then fasta atengeneze kiti for pozi jingine au mm tu?[/
sijui kwajili sijavaa miwani?but mmh kiti kama kinataka kudondoka?its like alikuwa ameweka pozi apige picha then fasta atengeneze kiti for pozi jingine au mm tu?[/
hahaha wewe Pearl mbona unavunja mbavu mwenzio
sijui kwajili sijavaa miwani?but mmh kiti kama kinataka kudondoka?its like alikuwa ameweka pozi apige picha then fasta atengeneze kiti for pozi jingine au mm tu?[/
Hhahahahaa Pearl nimecheka kweli halafu kipo kama kwenye kamteremko
watanzania kwa majungu tu hatujambo,umeona eeeeeeeeh?