Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,451
- 4,655
Aliyesikiliza jicho la ngombe leo atajua Gerald Hando sio Kibonde.
''Ni kweli ccm imefikia sehemu ya kushindwa kumshawishi mtu bila Hongo''
''Hivi ni kweli CCM- ndio Chukua Chako Mapema"
Hii ni kuhusiana na yaliyotokea katika uchaguzi wa UWT huko Dodoma
Big up Hando.
''Ni kweli ccm imefikia sehemu ya kushindwa kumshawishi mtu bila Hongo''
''Hivi ni kweli CCM- ndio Chukua Chako Mapema"
Hii ni kuhusiana na yaliyotokea katika uchaguzi wa UWT huko Dodoma
Big up Hando.