Hana hisia na mimi

Hana hisia na mimi

Inaelekea huwa unamkwaza sana au tabia zako c nzuri ulishamcheat sasa kila anapovuta hisia anaona kama anamwona mtu ambaye unatoka nae. ilishanikuta na mimi mpaka nikahamua niachie ngazi.
Kukwazana kunakuwwpo sometimes lakini sidhani kama ndio kigezo za kutokuwa na hisia na mtu wako completely. Ingekuwa ndio hivyo kwenye ndoa sijui kungekuwaje.
 
Mh!Hapo kuna mawili la!Kuna jambo umemkwaza au humridhishi au pengne kaxapata mwngne muulize vizur why?
 
Mh!Hapo kuna mawili la!Kuna jambo umemkwaza au humridhishi au pengne kaxapata mwngne muulize vizur why?

Kwa mtindo huu michepuko bado itaendelea kupiga bao tu...


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Wadau, nina girlfriend wangu ambae tumekuwa pamoja kwa muda wa miaka 2.

Kwa miezi kadhaa sasa naona amebadilika linapokuja suala la mambo ya chumbani.

Dizain inabidi nitumie ushawishi mkubwa ili kupata tunda, then ye hatoi ushirikiano kabisaaaa (kama natupia kwa maiti vile).

Katika kumuuliza vizuri akafungua kwamba hana hisia za kimapenzi na mimi.

Hii hali imeniumiza, na nimebaki na maswali mengi kwa kweli.

Je ni kweli kwamba mtu unakosa hisia kabisa za ku do na mtu wako au ndio kuna fundi kashafanya yake!!?

Huo ndio ukweli unadaidiwa mzee
 
Back
Top Bottom