Hamphrey Polepole, Luhaga Mpina na Dr Josephat Gwajima

Hamphrey Polepole, Luhaga Mpina na Dr Josephat Gwajima

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,438
Reaction score
3,951
Hawa ma comrade huko CCM kwenye chama chao, wasipuuzwe.

Wanayo maono kuhusu chama chao na wameonyesha uthubutu zaidi ya yehote yule ndani ya chama, huenda ni chambo au wana tengeneza kitu na umoja ambao labda kuna walio nyuma yao. Mungu awasaidie hawafanyi na hawa zungumzi kwa ubaya ni kwa mema.
 
Back
Top Bottom