Adolf Hitler3
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 228
- 127
- Thread starter
- #21
Takbirrrr
ndiyo nn
Takbirrrr
Mkuu umeongea pointi..Taifa la Israel Limepitia matatizo mengi hata kabla ya kuja kwa masia /Nabii iSsa.
Limepigana vita nyingi ikiwa ni pamoja na Wafilisti na kuwashinda mara kadhaa.
Wafilisti lilikua taifa la watu wa kale ambao leo n wairaq na wasyria.
Kwanini Hamna atakae ling’oa taifa la israel…?
Miaka ya leo linapigana na Waarabu napenda kutumia waarabu kwa sababu taifa la palestina halijawai kuwepo had mwaka 1988 (ukibisha lete ushahidi). Taifa hili limeanza kupigwa vita na kutekwa mara kadhaa lakini kila mara wamekua wakirudi kwene hii Ardhi yao pendwa.
Utasikia mpumbavu mmoja akisema Ni wazungu wametoka ulaya kwenda kuanzisha nchi pale?? Je we ungekua mzungu ungekubali kwenda kufia jangwani pale kwene waarabu wenye visilani uache kukaa miji mizuri kama venice, paris na UK!!
Ukweli ni kwamba waisrael wapo tayari kufia pale kwasababu hawana sehemu nyingine kila nchi wamekua wakibaguliwa na kuuliwa. Lakini waarabu wamevamia ardhi yao !
Ukute hata hao Israel ukristo hawaujui,mimbumbu yetu inashabikia huku
Kabla ya mitandao ya poni ambayo Leo hii ndio wanaimili na inapiga Hela balaa ,enzi hizo walikuwa wanafanya biashara ya vijarida ya poni na kuwauzia germany.hii ni Moja ya mambo yalipelekea jamaa kuchoma moto vitabu vyote vilivyoandikwa na hao jamaa.Hivi Adolf alikosewa Nini Hadi akataka kuwamaliza kabisa hao wayahudi?
Walienda kufanya Nini hapo Germany?
Hujui historia ya wayahudi wewe.Watu mnaongea bila kuelewa mnachokionge.
Hakujawahi kuwa na nchi inayoitwa Israel kabla ya 1948.
Upo sahiiSijui wanaoshabikia kisa dini mi nasimama na historia ya kweli
Nchi za kiarabu zinashabikia au zinaichukia israel kisa dini lakini si kisa ukweli
Mkuu hizi ni proganda za kwenye misikiti na chuki za waarabu na waislamuKabla ya mitandao ya poni ambayo Leo hii ndio wanaimili na inapiga Hela balaa ,enzi hizo walikuwa wanafanya biashara ya vijarida ya poni na kuwauzia germany.hii ni Moja ya mambo yalipelekea jamaa kuchoma moto vitabu vyote vilivyoandikwa na hao jamaa.
Wala siumii samaki kujikaanga na mafuta yake.Sasa wewe unaumia nini!! wao wameamua kufuata haki za binadamu kuto wanyonga kama huko kwenu saudia na iran!!
tangu walivoanza kunyonga ndo wameisha??
Mkuu hujaenda kitovu cha ushoga Doha na Abu dhabi na DubaiWote hao wa urabuni na kwengineko Tell Aviv ndio safe haven Yao , yaani kama wanafanya Kwa kificho basi kule ni hadharani na sehemu ya wakimbizi mashosti duniani.
Ok visit Tel AvivMkuu hizi ni proganda za kwenye misikiti na chuki za waarabu na waislamu
Waislamu waarabu wanna chuki za kitoto ila mbabe wao myahudiWala siumii samaki kujikaanga na mafuta yake.
Wao ndo wanaumia kwanini wapalestina wanazaana sana na wao ndo vile tia maji tia maji
Sisi kama Watanzania hii hadithi fake inatuhusu nini?Taifa la Israel Limepitia matatizo mengi hata kabla ya kuja kwa masia /Nabii iSsa.
Limepigana vita nyingi ikiwa ni pamoja na Wafilisti na kuwashinda mara kadhaa.
Wafilisti lilikua taifa la watu wa kale ambao leo n wairaq na wasyria.
Kwanini Hamna atakae ling’oa taifa la israel…?
Miaka ya leo linapigana na Waarabu napenda kutumia waarabu kwa sababu taifa la palestina halijawai kuwepo had mwaka 1988 (ukibisha lete ushahidi). Taifa hili limeanza kupigwa vita na kutekwa mara kadhaa lakini kila mara wamekua wakirudi kwene hii Ardhi yao pendwa.
Utasikia mpumbavu mmoja akisema Ni wazungu wametoka ulaya kwenda kuanzisha nchi pale?? Je we ungekua mzungu ungekubali kwenda kufia jangwani pale kwene waarabu wenye visilani uache kukaa miji mizuri kama venice, paris na UK!!
Ukweli ni kwamba waisrael wapo tayari kufia pale kwasababu hawana sehemu nyingine kila nchi wamekua wakibaguliwa na kuuliwa. Lakini waarabu wamevamia ardhi yao !
Nasema official headquarter yaoMkuu hujaenda kitovu cha ushoga Doha na Abu dhabi na Dubai
Nimeenda kote kuanzia Cairo,tel aviv na beirut na UAE na Muscat na Riyadh.Ok visit Tel Aviv
Chuki za miskitini na kwenye mihadhara ni za kitoto sanaSisi kama Watanzania hii hadithi fake inatuhusu nini?
Wala siumii samaki kujikaanga na mafuta yake.
Wao ndo wanaumia kwanini wapalestina wanazaana sana na wao ndo vile tia maji tia maji
Mkuu nadhani wewe ni shabiki tu wa udini na chuki na hujawahi kusafiri nje ya tanzania.Nasema official headquarter yao
Nimekubali kuwa mpumbavu ila ukweli ni kwamba hao wazungu wameletwa kwa sababu hiyo ni ardhi takatifu na Waisraeli wakweli waliishi hapo na wana legacy kubwa kupitia vitabu vya dini.Utasikia mpumbavu mmoja akisema Ni wazungu wametoka ulaya kwenda kuanzisha nchi pale?? Je we ungekua mzungu ungekubali kwenda kufia jangwani pale kwene waarabu wenye visilani uache kukaa miji mizuri kama venice, paris na UK!!
Ukweli ni kwamba waisrael wapo tayari kufia pale kwasababu hawana sehemu nyingine kila nchi wamekua wakibaguliwa na kuuliwa. Lakini waarabu wamevamia ardhi yao !