Tar 29 mlisema hivi hivi, hamuamini kilichotokeaa! Kuna mipango mingi huko underground hasa diaspora, mind that kuna wanaokuja front, pia kuna wale wako kimya kimya lakn wako na plan zao !Mambo yamekuwa magumu sana, namuonea huruma sana hii miaka mitano itakuwa michungu kama shubiri