Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,556
Mafundi wengi wanakera sana! Hasa mafundi magari na mafundi ujenzi. Unaelewana nae vzr kabisa lakini unakuta anawaachia vijana wake kazi.Yeye anakuwa kama Consultant anawasimamia tu.
Unakuta fundi magari yeye anafanya kazi kwa vidole tu yaani! Halafu manyoka ndo wanaumia mbaya kabisa.
Mafundi wakuu acheni hiyo tabia mkipewa kazi msijifanye nyie ni Consultants.
Unakuta fundi magari yeye anafanya kazi kwa vidole tu yaani! Halafu manyoka ndo wanaumia mbaya kabisa.
Mafundi wakuu acheni hiyo tabia mkipewa kazi msijifanye nyie ni Consultants.