Hamisa Mobeto

Kiukweli huyu mwanamama,kabla hajazalishwa tulikuwa tunawasiliana sana.Alikuwa anasisitiza kuwa nifike Daasalama tukaonane,nadhani hofu yangu tuu huenda mtoto angekuwa wakwangu.Nowday hata sms hajibu na nikimpigia mara nyingi anapokea kiviiiiiivu sana.
 
We nae, demu gani huyo sura mbovu km Bibi kizee kakunja goti, rangi hiyo ya makeup inakuzingua, mtafte mondi akupe namba
 
Kweli pesa sabuni ya mwili huyo binti kipindi yuko uswazi alikuwa wakawaida Sana
72188f2d392115c9cd01f8dce1fb0a7b.jpg
hapa ndio alikuwa mzuri. Kuliko alivyo sasa
 
Kiukweli huyu mwanamama,kabla hajazalishwa tulikuwa tunawasiliana sana.Alikuwa anasisitiza kuwa nifike Daasalama tukaonane,nadhani hofu yangu tuu huenda mtoto angekuwa wakwangu.Nowday hata sms hajibu na nikimpigia mara nyingi anapokea kiviiiiiivu sana.
Hebu lete nambaa yake nijaribu bahati yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom