Hamis Tabasamu, Mbunge wa Sengerema usichokoze hisia za watu

Wewe Tabasamu kwani hukusoma ukaelewa mbona uliomba ubunge?

Au hujajua kwamba hao unaowaeleza hayo ndio wamekuajiri.
Mkuu utakuwa na lako jambo wewe. Ama uliutaka ubunge Tabasamu akakishinda au utakuwa mwanamke uliyemtaka Tabasamu akakukataa.
 
Walimu manashida sana aseee..hivi huko vyuoni hua manaambiwa maisha ni serikalini tu?ulaitaka serikali iajiri vijana wote wanao maliza vyuoni?hakuna kitu kama hicho..jiongeze maisha sio serikalini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAMA KUNA MTU AMEHARIBU MKUTANO WA LEO WA MAMA YULE MBUNGE KAZINGUA KINOMA KWA KAULI HILE, AMECHAFUA ATMOSPHERE pasipo kujua nilizima Tv baada ya kauli ile .

Baada ya kuongea maneno yale Ummy na Jesista wakaanza kunong'onezana sijajua walikuwa wanaongea nn labda walikuwa wanasema huyu jamaa yetu kilaza sana hajui kusoma nyakati😂😂😂😂
 
hivi huko vyuoni hua manaambiwa maisha ni serikalini tu?ulaitaka serikali iajiri vijana wote wanao maliza vyuoni?hakuna kitu kama hicho..jiongeze maisha sio serikalini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu usikute huyu anayemlaumu Tabasamu kwa kuusema ukweli naye anajiita msomi.

Jina zuri la hawa wanaojiita wasomi linapaswa kuwa "waliopita ama kukaa madarasani"
 
Tabasamu yuko sahihi! Kuwekeza kwenye kuwaza lazima uajiriwe serikalini ni kujiongezea pressure. Ukiajiriwa accidentally nzuri lakini kama hujaajiriwa na serikali isiwe nongwa.
Lazima watu wazoee haya maneno ya kutoajiriwa na serikali mapema ili huu msamiati usiwe mpya kwao.
 
Kama nimekuelewa kuna maneno ulitaka kuyasikia mkuu...bora amesema ukweli..someni kufuta ujinga...msitegemee ajira serikalini...tusipende kusikia maneno tunayopenda kusikia..tuyapokee hata na yale magumu

Mbunge kaongea ukweli ulio sahihi na hana kosa nchi ina watu karibu milioni 60 waajiriwa rasmi wa serikali hawazidi milioni moja, wengine waliobaki wako wameajiriwa sekta binafsi na wengine wamejiajiri, tubadilishe mtazamo, mbunge kaongea ukweli kabisa hasa ukizingatia uchumi wa nchi zetu hawana uwezo wa kuajiri watu wote ndio maana tunaambiwa tuchangamshe akili
 
Mbunge kaongea ukweli ulio sahihi na hana kosa nchi ina watu karibu milioni 60 waajiriwa rasmi wa serikali hawazidi milioni moja, wengine waliobaki wako wameajiriwa sekta binafsi na wengine wamejiajiri, tubadilishe mtazamo, mbunge kaongea ukweli kabisa hasa ukizingatia uchumi wa nchi zetu hawana uwezo wa kuajiri watu wote ndio maana tunaambiwa tuchangamshe akili
Yaani natamanigi ziorodheshwe hapa fields zenye uwezo wa watu kujiajiri naamini zifafika hata 100....! Ni mambo mengi ya kufanya sema ndo watu wanafikiria ajira tu
 
Huo ndio ukweli...bahati mbaya labda ni ukweli mchungu

Kama unadhani kakosea basi, katika mwaka mmoja jaribu kulinganisha idadi ya wahitimu na nafasi za ajira ambazo zimetolewa na serikali

Isipokuwa yeye kama mbunge, alipaswa kuitumia fursa hiyo kuwasemea wapiga kura wake, kama kuna shida yoyote jimboni ambayo ingelihitaji attention ya Rais, bila shaka huo ndio ungekua wasaa mzuri kubainisha
 
Leo wakati Rais wa Tanzania akihitimisha ziara yake mkoani Mwanza, aliongea na kundi muhimu sana katika jamii yoyote ile (vijana)
Mh Rais aliwataka wabunge waliokuepo eneo hilo anhalau watoe salam. Mbunge wa Sengerema ndugu Tabasamu amewaambia vijana eti wasome waelewe ila serikalini hakuna ajira.

Wewe Tabasamu kwani hukusoma ukaelewa mbona uliomba ubunge?

Au hujajua kwamba hao unaowaeleza hayo ndio wamekuajiri. Au hutarudi tena kwao? Tabasamu umetonesha vidonda vya watu.
Muwe mnaandika kwanza halafu mkifika mbele za watu msome maana hamchelewi kutoa boko.

Tabasamu kwakua umesoma ukaelewa uchaguzi ujao kajikalie nyumbani kwako usiwasumbue vijana. Mbona Mh. Rais anatumia lugha ya upole, ustaarabu na inayoeleweka. Wewe kuonge atu dakika moja na robo umechafua hali ya hewa. Ama kweli mwenye shibe, hamjui mwenye njaa.

Hatahivyo, halmashauri ya Sengerema inakabiliwa na ufujaji wa fedha hivyo Mh Rais ameagiza ufanyike ukaguzi ili kubaini tatizo.

Kwa aina ya muwakilishi kama huyo hana jipya sana katika kuishauri halmashauri kupitia baraza la madiwani.
Amesema ukweli vijana kwenye hili Taifa wasome wafute ujinga then wajiajiri serikali haiwezi kuajiri graduates wote kutoka vyuo vikuu .Serikali inawajibu wa kutengeneza mazingira mazuri kwenye sekta binafsi ili tuweze kuzalisha ajira za kutosha.sio kila siku kulialia hapa kwa waziri wa TAMISEMI.
 
Kwahio yeye pale kazi yake ni kufanya nini ? Kuongea the Obvious ambazo kila mtu anajua au Amefanya nini kuepusha hilo tatizo ? Tunajua tatizo la ajira, kwahio kuliko vijana wanaobangaiza mtaani bado pesa yao inanyonywa kuwanenepesha hawa mabwanyenye ifike wakati either wapungue huko nao waje mtaani wafundishe practically au wapunguziwe hizo posho ili kutoa ahueni kwa wanaokamuliwa....

Hii Mikanda inafungwa tu na watu mtaani na sio watu mjengoni.... Bogus Kabisa...
 
Leo wakati Rais wa Tanzania akihitimisha ziara yake mkoani Mwanza, aliongea na kundi muhimu sana katika jamii yoyote ile (vijana)
Mh Rais aliwataka wabunge waliokuepo eneo hilo anhalau watoe salam. Mbunge wa Sengerema ndugu Tabasamu amewaambia vijana eti wasome waelewe ila serikalini hakuna ajira.

Wewe Tabasamu kwani hukusoma ukaelewa mbona uliomba ubunge?

Au hujajua kwamba hao unaowaeleza hayo ndio wamekuajiri. Au hutarudi tena kwao? Tabasamu umetonesha vidonda vya watu.
Muwe mnaandika kwanza halafu mkifika mbele za watu msome maana hamchelewi kutoa boko.

Tabasamu kwakua umesoma ukaelewa uchaguzi ujao kajikalie nyumbani kwako usiwasumbue vijana. Mbona Mh. Rais anatumia lugha ya upole, ustaarabu na inayoeleweka. Wewe kuonge atu dakika moja na robo umechafua hali ya hewa. Ama kweli mwenye shibe, hamjui mwenye njaa.

Hatahivyo, halmashauri ya Sengerema inakabiliwa na ufujaji wa fedha hivyo Mh Rais ameagiza ufanyike ukaguzi ili kubaini tatizo.

Kwa aina ya muwakilishi kama huyo hana jipya sana katika kuishauri halmashauri kupitia baraza la madiwani.
Ukweli ulio mchungu
 
Back
Top Bottom