Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,882
- 2,109
Anamiliki petrol stationKuna Magari yameandikwa Tabasamu huyu ndo mmiliki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamiliki petrol stationKuna Magari yameandikwa Tabasamu huyu ndo mmiliki?
Sengerema ana vituo vya mafuta vingi pale.Kuna Magari yameandikwa Tabasamu huyu ndo mmiliki?
Wajumbe siyo watu ila most of them ni la sabaKuna haja wagombea ambao ni wasomi kabla ya kwenda majimboni wakae chini na kujitafakari kwa kina sababu za kuelekea kushika nambari one ama kupata aibu kubwa. Vinginevyo wasomi wawe tayari kwenda kujifunza kwa std 7 namna ya kushinda kura haswa jinsi ya kupata kura za wajumbe wa kijijini
Sidhani. Wamewatendea haki acha wakafanye majukumu ya professional zao, wale wa Kilimo na Mifugo waende. Kuwakilisha wakulima haiitaji daktari wa menoMleta hoja kashabikia ujinga. Kwake Tanzania haina nafasi tena. Japo Sina utafiti, matokeo hayo yanaonesha ama matumizi makubwa ya pesa kununua wapiga kura, na/au kiwango kidogo cha elimu kwa wajumbe.
Sawa. Kama Dodoma inapiga kura wakati wa uchaguzi leteni huyo wa Dodoma sanduku litaamua.Tunangoja Waje Na Hayo Majina Dodoma
Watoa Rushwa Hawana Nafasi Wakatafute Kazi
Tulipo fikia, kinacho hitajika ni uwezo wa kusifu tuuuSawa!! Akienda bungeni ataweza kujenga hoja zilizoshiba? Kuna kamati mbalimbali bungeni, atawekwa wapi? Kwenye maswala ya kukutana na nchi jirani, atawaambia nini wasomi?
Inaonekana cdm Kuna vichwa Sana hata ukiwa std 7 ni sawa na degree holder tu,yaan std 7 ya CDM ni sawa na bachelor ya ccmMfanyabiashara wa mafuta maarufu Hamis Tabasamu hivi karibuni ameshika nafasi ya kwanza kura za maoni CCM jimbo la Sengerema. Hamis Tabasamu mwenye elimu ya darasa la saba tu ameweza kuwashinda wasomi wabobezi wa maswala mbalimbali waliotia nia katika jimbo hilo
Mbali ya usomi wao lakini zaidi ni kumshinda Waziri mstaafu wa siku nyingi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo William Ngeleja
Hamis Tabasamu mwaka 2015 aligombea ubunge wa Sengerema kwa tiketi ya CHADEMA na kushindwa kumg'oa Ngeleja. Mwaka 2017 Tabasamu alihama CHADEMA na kwenda kuunga juhudi za Mheshimiwa John Magufuli kwa kile alichoita amechoshwa na upinzani kupinga kila kitu hasa hatua zilizochukuliwa kwenye makinikia
Wafuatao ndiyo walikuwa watia nia wa Sengerema
1. Hamis Tabasamu- Std 7
2. William Ngereja - Master in Law
3. Philemon Tano - Master in HRM
4. Joshua Shimiyu- Master in HRM
5. Lawrence Masha- Master in Law
6. Yohana Kasenga- Shahada ya elimu.
7. Ndakama Salang’anya- BA Econom
8. Kelvin Natto- BA in Law
9. Tumaini Limbe-Shahada ya Kilimo
na Mifugo
10. Yunge Maige- Bachelor ya Accounts
11. Mlyambelele Levi Ng'weli- Sheria + Post Graduate Diploma in Legal Practice.
12. Veronica K. Mugoyela- shahada ya Uzamivu fani ya Pharmacy.
13.William J.Tega PGD -Economic Diplomacy
14. Eng. Suleman Daudi Arthur Nkalango - Ph.D In Information and Telecommunication Engineering
15. Evarist Clement Matulanya- Shahada ya Ualimu
16.Dotto Joseph Ndemella-Master of Arts in Economics
17.Dr Godwin Silas Macheku,Adv.dipl (SRHR),MD(doctor of medicine),MMED (masters of medicine)(obgyn)
18. Onesmo Yegella Ntoneji, Masters in Procurement and supply chain management. PGD in Air Transport Management, (Airport operations)
Jimbo la Sengerema hawa ndio waliotia nia na namba 1 Ndo kashinda.
Kwa kifupi, wasomi wa Tz tumewaangusha Sana watz kwa miaka mingi iliyopita! Tuanze jitafakali Kama elimu zetu zimekuwa na Tija yoyote kwa wananchi wetu ambao hawakupata nafasi ya kubakia darasani!Mfanyabiashara wa mafuta maarufu Hamis Tabasamu hivi karibuni ameshika nafasi ya kwanza kura za maoni CCM jimbo la Sengerema. Hamis Tabasamu mwenye elimu ya darasa la saba tu ameweza kuwashinda wasomi wabobezi wa maswala mbalimbali waliotia nia katika jimbo hilo
Mbali ya usomi wao lakini zaidi ni kumshinda Waziri mstaafu wa siku nyingi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo William Ngeleja
Hamis Tabasamu mwaka 2015 aligombea ubunge wa Sengerema kwa tiketi ya CHADEMA na kushindwa kumg'oa Ngeleja. Mwaka 2017 Tabasamu alihama CHADEMA na kwenda kuunga juhudi za Mheshimiwa John Magufuli kwa kile alichoita amechoshwa na upinzani kupinga kila kitu hasa hatua zilizochukuliwa kwenye makinikia
Wafuatao ndiyo walikuwa watia nia wa Sengerema
1. Hamis Tabasamu- Std 7
2. William Ngereja - Master in Law
3. Philemon Tano - Master in HRM
4. Joshua Shimiyu- Master in HRM
5. Lawrence Masha- Master in Law
6. Yohana Kasenga- Shahada ya elimu.
7. Ndakama Salang’anya- BA Econom
8. Kelvin Natto- BA in Law
9. Tumaini Limbe-Shahada ya Kilimo
na Mifugo
10. Yunge Maige- Bachelor ya Accounts
11. Mlyambelele Levi Ng'weli- Sheria + Post Graduate Diploma in Legal Practice.
12. Veronica K. Mugoyela- shahada ya Uzamivu fani ya Pharmacy.
13.William J.Tega PGD -Economic Diplomacy
14. Eng. Suleman Daudi Arthur Nkalango - Ph.D In Information and Telecommunication Engineering
15. Evarist Clement Matulanya- Shahada ya Ualimu
16.Dotto Joseph Ndemella-Master of Arts in Economics
17.Dr Godwin Silas Macheku,Adv.dipl (SRHR),MD(doctor of medicine),MMED (masters of medicine)(obgyn)
18. Onesmo Yegella Ntoneji, Masters in Procurement and supply chain management. PGD in Air Transport Management, (Airport operations)
Jimbo la Sengerema hawa ndio waliotia nia na namba 1 Ndo kashinda.
Aisee hii kiboko,sidhani jama hao wasomi wana hamu na watu wa sengeremaMfanyabiashara wa mafuta maarufu Hamis Tabasamu hivi karibuni ameshika nafasi ya kwanza kura za maoni CCM jimbo la Sengerema. Hamis Tabasamu mwenye elimu ya darasa la saba tu ameweza kuwashinda wasomi wabobezi wa maswala mbalimbali waliotia nia katika jimbo hilo
Mbali ya usomi wao lakini zaidi ni kumshinda Waziri mstaafu wa siku nyingi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo William Ngeleja
Hamis Tabasamu mwaka 2015 aligombea ubunge wa Sengerema kwa tiketi ya CHADEMA na kushindwa kumg'oa Ngeleja. Mwaka 2017 Tabasamu alihama CHADEMA na kwenda kuunga juhudi za Mheshimiwa John Magufuli kwa kile alichoita amechoshwa na upinzani kupinga kila kitu hasa hatua zilizochukuliwa kwenye makinikia
Wafuatao ndiyo walikuwa watia nia wa Sengerema
1. Hamis Tabasamu- Std 7
2. William Ngereja - Master in Law
3. Philemon Tano - Master in HRM
4. Joshua Shimiyu- Master in HRM
5. Lawrence Masha- Master in Law
6. Yohana Kasenga- Shahada ya elimu.
7. Ndakama Salang’anya- BA Econom
8. Kelvin Natto- BA in Law
9. Tumaini Limbe-Shahada ya Kilimo
na Mifugo
10. Yunge Maige- Bachelor ya Accounts
11. Mlyambelele Levi Ng'weli- Sheria + Post Graduate Diploma in Legal Practice.
12. Veronica K. Mugoyela- shahada ya Uzamivu fani ya Pharmacy.
13.William J.Tega PGD -Economic Diplomacy
14. Eng. Suleman Daudi Arthur Nkalango - Ph.D In Information and Telecommunication Engineering
15. Evarist Clement Matulanya- Shahada ya Ualimu
16.Dotto Joseph Ndemella-Master of Arts in Economics
17.Dr Godwin Silas Macheku,Adv.dipl (SRHR),MD(doctor of medicine),MMED (masters of medicine)(obgyn)
18. Onesmo Yegella Ntoneji, Masters in Procurement and supply chain management. PGD in Air Transport Management, (Airport operations)
Jimbo la Sengerema hawa ndio waliotia nia na namba 1 Ndo kashinda.
kitu kimoja tukumbuke pia,hamisi amekuwa hapo sengerema miaka yote shughuli zake nyingi ni hapohao 24x7KAMA HUJAFANYA UTAFITI AU HUNA INFORMATION UNAWEZA KUUAMINI HUU UZI.LAKINI UKWELI NI KWAMBA JAMAA KATOA RUSHWA YA KUFA MTU YEYE PAMOJA NA WAGOMBEA WENGINE ILI WAPATE KURA.WAGOMBEA WALIOKUWA WATIIFU KWA CHAMA KWA MAANA YA KUTOJIPITISHA NDIO WALIOPATA KURA MOJA AU SIFURI.RUSHWA ILIKUWA KUBWA MNO HAPO SENGEREMA NDIO MAANA SASA HIVI WANAFANYA PROPAGANDA KWENYE MITANDAO ILI KU NEUTRALIZE MADHAMBI YAO.WANATENGENEZA PROPAGANDA NA APPEAL FOR PITTY ILI DARASA LA SABA AHURUMIWE NA KUACHIWA USHINDI
Kweli kabisa,mleta mada anatumika.Bila shaka kapewa rushwa pia.Huyo jamaa ni bepari,pamoja na kuwa na huo ukwasi bado ana njaa na tamaa ya kutaka kuingia bungeni.Anataka akafanye nini huko?kichaka cha kulinda mali zake.Kama ana pesa si alipe kodi tu na kuchangia shughuli za maendeleo.Bunge lijalo linahitaji brain za kukabiliana na wakenya na vita ya uchumi.Darasa la saba muda wao umeishaMleta mada ni mjinga sana yapaswa aelimishwe sasa.
Kwani yule wa Makambako amewekwa kamati gani? Kama Tabasamu atapitishwa na baadaye kushinda, hatakuwa mbunge wa kwanza darasa la saba kutoka CCM. Kuna yule tajiri wa Makambako ambaye alicheza mayenu akikata kiuno baada ya kupitishwa katiba ya hovyo kwenye Bunge la Katiba. CCM wanaivuruga sana hii nchi, wanatengeneza mechanism ya kupeleka bungeni watu mbumbumbu wanaoweza kushangilia kila upuuzi utakaoletwa bungeni. Ukifanya utafiti, utagundua kuwa idadi kubwa ya wabunge mbumbumbu wanatoka CCM!Sawa!! Akienda bungeni ataweza kujenga hoja zilizoshiba? Kuna kamati mbalimbali bungeni, atawekwa wapi? Kwenye maswala ya kukutana na nchi jirani, atawaambia nini wasomi?