mwene original
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 248
- 48
Huyu ni kibaraka wake hata ccm tunamjua wanakula hela za rostam na richmond bado zipo
Mkuu hapana, maneno haya acha kwani hayastahili kuyaweka hapa jamvini, please naomba usitoe maana ya neon hili kwani hili ni jukwaa la great thinkers.KUCHI?? Nini maana yake mkuu??
Mgeja Kondakta ni kiwakilisha cha wana shinyanga wengiHamis Mgeja ni mtu anaejiamini, Tangu 1995 alimtangaza Jk kuwa ndie mtu anaemuunga mkono hakumung'unya maneno, Katika kumuunga mkono Lowassa Pia hajivungi au kuongelea nyuma Ya Pazia. Huyu ndie aliewakutanisha Jk na Lowassa watu walipojaribu sana kuwagombanisha kwa kuchochea uongo