HAMIS Kigwangalla: Jana Rais Kikwete aliniachia kiti, nikakaa na marais wengine. Can u belive that?

​so what??????????

Majibu ya swali lako haya hapa ''''
Mhe. Rais Jakaya Kikwete ni mtu makini sana. Leo nimeamini nabii hakubaliki kwao, ninaamini ata. Amenifanya nimejisikia proud sana leo kwenye mikutano mitatu niliyoshiriki pamoja naye, yeye akiwa panelist na marais na watu wengine mashuhuri duniani. Kauli yake ya kwanza ni namna alivyosema kuwa tunawaalika wawekezaji kwenye kilimo siyo wachukue ardhi ya wazawa bali wawe chachu ya kukuza uzalishaji wa wazawa wanaowazunguka through outgrower schemes. Alisisitiza hili kwa nguvu sana akisema 'not with me, my grandparents and parents will punish me if I do allow land grabbing from small-holder farmers because I am from the same history and lifestyle...even if they are dead still I fear them'...hadhira ilishangilia kwa maneno haya, na wengine walimpa heshima ya standing ovation. Aliyasema maneno haya mbele ya mkutano wa kilimo na lishe akiwa kwenye panel na Waziri Mkuu Mstaafu wa Japan, Mhe. Yoshiro Mori. Pia, Mhe. Rais Kikwete alifunika hadhira kwa namna alivyoelezea suluhisho la tatizo la ajira kwa vijana pamoja na mikakati iliyopo ya kuongeza ajira na kukuza uchumi. Nilipanga kuchangia lakini baada ya hotuba nzuri ya Rais wetu, niliamua kunyamaza, maana alinifilisi hoja zangu zote, japokuwa kabla ya hapo niliamini nina mchango mzito kwenye jambo ukizingatia nimelifanyia utafiti wa kina na kwa muda mrefu na ni jambo ambali ninalitafutia suluhu kwa vitendo - c.f. Hoja yangu binafsi kwenye Bunge la Februari''

mwisho wa kunukuu source- facebook wall ya kigwangala
 
Sasa inamaana yeye alikuwa hajui kama misafara ya nje JK huwa anakwenda kwa ajili ya shopping? hii mbulula nayo kuachiwa kiti kwa masaa anaona dunia nzima yake!! Mnyamwezi mpuuzi kweli huyu.

Majibu ya swali lako haya hapa ''''
Mhe. Rais Jakaya Kikwete ni mtu makini sana. Leo nimeamini nabii hakubaliki kwao, ninaamini ata. Amenifanya nimejisikia proud sana leo kwenye mikutano mitatu niliyoshiriki pamoja naye, yeye akiwa panelist na marais na watu wengine mashuhuri duniani. Kauli yake ya kwanza ni namna alivyosema kuwa tunawaalika wawekezaji kwenye kilimo siyo wachukue ardhi ya wazawa bali wawe chachu ya kukuza uzalishaji wa wazawa wanaowazunguka through outgrower schemes. Alisisitiza hili kwa nguvu sana akisema 'not with me, my grandparents and parents will punish me if I do allow land grabbing from small-holder farmers because I am from the same history and lifestyle...even if they are dead still I fear them'...hadhira ilishangilia kwa maneno haya, na wengine walimpa heshima ya standing ovation. Aliyasema maneno haya mbele ya mkutano wa kilimo na lishe akiwa kwenye panel na Waziri Mkuu Mstaafu wa Japan, Mhe. Yoshiro Mori. Pia, Mhe. Rais Kikwete alifunika hadhira kwa namna alivyoelezea suluhisho la tatizo la ajira kwa vijana pamoja na mikakati iliyopo ya kuongeza ajira na kukuza uchumi. Nilipanga kuchangia lakini baada ya hotuba nzuri ya Rais wetu, niliamua kunyamaza, maana alinifilisi hoja zangu zote, japokuwa kabla ya hapo niliamini nina mchango mzito kwenye jambo ukizingatia nimelifanyia utafiti wa kina na kwa muda mrefu na ni jambo ambali ninalitafutia suluhu kwa vitendo - c.f. Hoja yangu binafsi kwenye Bunge la Februari''

mwisho wa kunukuu source- facebook wall ya kigwangala
 
Naona aliamini ni Rais wa Tanzania kwa muda huo! Mambo mengine wala si ya kuandika kwenye facebook na kujisifu. Hajatuambia aliachiwa kama nani? Hivi na Rais kumuachia huyu jamaa ina maana aliondoka na mawaziri alioenda nao au hakwenda na waziri hata mmoja?
[h=5]Hamisi Kigwangalla[/h]Yesterday

Mhe. Rais Jakaya Kikwete ni mtu makini sana. Leo nimeamini nabii hakubaliki kwao, ninaamini ata. Amenifanya nimejisikia proud sana leo kwenye mikutano mitatu niliyoshiriki pamoja naye, yeye akiwa panelist na marais na watu wengine mashuhuri duniani. Kauli yake ya kwanza ni namna alivyosema kuwa tunawaalika wawekezaji kwenye kilimo siyo wachukue ardhi ya wazawa bali wawe chachu ya kukuza uzalishaji wa wazawa wanaowazunguka through outgrower schemes. Alisisitiza hili kwa nguvu sana akisema 'not with me, my grandparents and parents will punish me if I do allow land grabbing from small-holder farmers because I am from the same history and lifestyle...even if they are dead still I fear them'...hadhira ilishangilia kwa maneno haya, na wengine walimpa heshima ya standing ovation. Aliyasema maneno haya mbele ya mkutano wa kilimo na lishe akiwa kwenye panel na Waziri Mkuu Mstaafu wa Japan, Mhe. Yoshiro Mori. Pia, Mhe. Rais Kikwete alifunika hadhira kwa namna alivyoelezea suluhisho la tatizo la ajira kwa vijana pamoja na mikakati iliyopo ya kuongeza ajira na kukuza uchumi. Nilipanga kuchangia lakini baada ya hotuba nzuri ya Rais wetu, niliamua kunyamaza, maana alinifilisi hoja zangu zote, japokuwa kabla ya hapo niliamini nina mchango mzito kwenye jambo ukizingatia nimelifanyia utafiti wa kina na kwa muda mrefu na ni jambo ambali ninalitafutia suluhu kwa vitendo - c.f. Hoja yangu binafsi kwenye Bunge la Februari.

My take: Huyu Kigwangwalah hata shule haikuweza kumkombowa kifikra ni boya kabisa utadhani ndio mara yake ya kwanza kupanda ndege na kwenda ughaibuni, am sure huyu jamaa angekuwa ni Mwanamke basi angejipeleka mwenyewe kwenye chumba alichofikia Mkulu ili agongwe show.
 
485403_10151883106273243_582897025_n.jpg
 
Huyu huyu kigwandala ndiye anaeingiza vitu kupitia kwa kampuni yake bila yakulipa kodi nakwenda kuviuza.
Kweli watazidi kuwa matajiri hawa pamoja na ndugu yao hapo juu.

na ni mzee wa palgarism hana mfano. mimi huyu namwona ni just a zoba tu
 
Kwangu mimi its not a big deal, ulishindwa kumuelewa rais vizuri miaka yote hiyo mkiwa Tanzania umekuja kumuelewa hapa japan! What ashame!..alafu icho kiti alikuachia akiwa ameenda wapi,msalani au shopping?..au uliwai kujishikisha kabla ajafika?...sizani kama watu wa protokali wanaweza kuruhusu ukalie kiti cha rais kwenye kikao kama ujateuliwa kumuwakilisha...narudia sio big deal.
 
Watu wengine sijui elimu zinawasaidia nini,sasa kukaa kwenye kiti cha rais kinakuongezea au kukupunguzia nini...bora ungeandika umemuwakilisha rais kwenye kikao moja wapo kwa kuwa yeye alikuwa kwenye kikao kingine..ingesound a bit interllectual..
 
Hiyo si habari, habari ni: 1-Kikwete alikuwa wapi kuacha kikao muhimu kama hicho, ambacho ndicho kilichompeleka? 2- Wewe ulichangia nini, au kukaa na Ban pekee ndiyo umetimiza lengo? 3-Tanzania imetoka na faida gani katika haya yote, au ni kushibisha ego zenu tu?
 
Poa tunasubiri upewe cheo fulani, nasema fulani maana kila wakati vyeo vipya raisi wetu anavianzisha.
 
Ndio maana kila mtu anautamani Uraisi, kumbe jk huwa anawaonjesha huko ughaibuni.!!
 
Angetueleza pia kama marais wengine wamefanya hivyo ........ siamini kama kuna watu hawaoni ajabu!!! Huyu jamaa Si ni mbunge tu au msafara haukuwa na mawaziri!! All in all JK hatafurahi kusikia jamaa kajisifia FB!!!
 
Kamuulize huyo Kigwangala kuwa wataendelea kuzunguka na bakuli la "saidia baba" duniani mpaka lini?
Na je, tunatengeneza taifa gani kwa vizazi vya sasa na vijavyo kwa style hiyo ya maisha?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Pia uwe makini isijekuwa alisimama ukajikalisha,akakukata jicho ukadhani kakuambia ukae haraka....alipokupa neno hukutaka toka..Sasa unajilinda kwa kuifanya kuwa sifa kwa vile unajua anapenda hilo.Hapo ni itifaki hufuatwa na si JK wishes..kabla wanapiga headof states sioni wapi hujakosa adabu...anayway km umetumwa na EL umtege jamaa nitafurahi na nitashangaa.

Hiyo kinga ni dhaifu km dhaifu mwenyewe.Wewe ulikuwa umepenia piga picture kwa nguvu km alivyokuwambia mganga wako ili uchukue chota ya JK.Tayari na wewe unataka urais mapema hivyo?Ukaamua raid picture ya pamoja na marais..baadaye ukajipitishe kwa kuwaonyesha picture ya pamoja?

Si wa kwanza wewe ktk list ya vijana wenye njaa ya makuu kufanya mavamizi( km wale mabinti waliovamia jukwaa south afica wakafanya adavertisement ya kihuni ktk world cup) ktk sherehe au kwa wageni na kulilia hadi megni aamue ondoka nao au wapa chakula kwa mtindo wa kuwaabisha wazee.Sijui km utafanikiwa mdanganya presidaa kwa hizi ifaa mapema kabisa.
 
Chezea totoz za kijapan ww?...

Kwa maana nyingine Mkuu wetu hakujali kilicho mpeleka Japan zaidi ya kujongo na kukata mitaa. Sasa naanza kuelewa kwa nini ziara zake za nje hazina manufaa zaidi ya kuteketeza fedha za waTanganyika..
 
Back
Top Bottom