mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 188
Hiyo Redio inayolipisha mabilioni nataka nimjue mmiliki wake...
Mohammed Seif Khatibu Mbunge wa Uzini (CCM)
Hiyo Redio inayolipisha mabilioni nataka nimjue mmiliki wake...
Amewasili na Kundi la waandishi kutoka tzbara.
Meli 5 ziliwasili zikitokea Tanzania bara kupitia Unguja.
Hoteli za Chake Chake zimejaa wageni waliopanga kuhudhuria mkutano huo.
Jana watu wa mikoa tofauti ya TZ bara walikuwa wakitembea tembea madukani kufanya Shopping ya viitu vya majumbani(electronic)
ndege 3 zikitokea dar zitawasili saa 4:30 kuelekea uwanjani moja kwa moja
amelipia mabilion ya shilingi kwa Redio ya Zenj Ifm ili kurusha matangazo yake moja kwa moja kutokea uwanja wa mapambano
Ndege 3 za nini?? zinabeba abiria wangapi??Amewasili na Kundi la waandishi kutoka tzbara.
Meli 5 ziliwasili zikitokea Tanzania bara kupitia Unguja.
Hoteli za Chake Chake zimejaa wageni waliopanga kuhudhuria mkutano huo.
Jana watu wa mikoa tofauti ya TZ bara walikuwa wakitembea tembea madukani kufanya Shopping ya viitu vya majumbani(electronic)
ndege 3 zikitokea dar zitawasili saa 4:30 kuelekea uwanjani moja kwa moja
amelipia mabilion ya shilingi kwa Redio ya Zenj Ifm ili kurusha matangazo yake moja kwa moja kutokea uwanja wa mapambano
Nikiwa kama Mpemba naandika kwa herufi kubwa; "HAMADI RASHIDI ANAJIMALIZA", au atakua anatumiliwa na lakini vyovyote itakavyokua huu ni mwisho wake! Hebu fikiria, katoa gari pemba mzima ziende kwenye mkutano wake tena kila kijiji zimetoka gari kuanzia 4 na kwenda mbele na watu (wanaofata ngoma, wanawake, uroda wa gari, matembezi, kofia, fulana, vijisenti vya sabuni, mlo nk) wamepanda bure, kalipia studio itangaze mkutano, kakodi waandishi wa habari na watu mbali mbali kutoka Tanganyika. Hali hii CCM hawajawahi kuifanya! Wale wanaosema HR anataka kuimaliza CUF wajue anajimaliza mwenyewe na leo ndio anakuja kugongomelea msumari wa mwisho katika lenenza lake
Mkuu unasema anajimaliza wakati unaonyesha kuwa watu wanasonga mbele!!kumbuka kuwa hata kutongoza ni lazima kwanza upate nafasi ya kuongea na huyo umtongozaye,hivyo hao wanaoenda naamini kuwa asilimia kubwa watabadilika na kumuunga mkono,kwenda kwao inaonyesha hawajaridhika na majibu ya upande mwingine,pamoja na hayo hii stahili ya kusomba watu si ni sera ya ccm!!!hapa kwa hamad inakuwaje?au wamemteka (ccm) na kumpa mbinu zao pia?
Amewasili na Kundi la waandishi kutoka tzbara.
Meli 5 ziliwasili zikitokea Tanzania bara kupitia Unguja.
Hoteli za Chake Chake zimejaa wageni waliopanga kuhudhuria mkutano huo.
Jana watu wa mikoa tofauti ya TZ bara walikuwa wakitembea tembea madukani kufanya Shopping ya viitu vya majumbani(electronic)
ndege 3 zikitokea dar zitawasili saa 4:30 kuelekea uwanjani moja kwa moja
amelipia mabilion ya shilingi kwa Redio ya Zenj Ifm ili kurusha matangazo yake moja kwa moja kutokea uwanja wa mapambano
binafsi mm nmepewa sh. Elfu 56, niweke mafuta ktk gari yngu niwapeleke vijana ktk mkutano kutka hapa machoma4, licha ya jana kulipwa posho ya kikao sh.45000,nipo hapa mkutanoni,ninachokiona mm hapa ni kuwa ba-hamad almaarufu hr, amekwisha na kwa sasa anaendelea kutapatapa.kinachonishangaza mm, nabaki kujiuliza hivi hz hela zilizotumika ktk maandalizi ya mkutano huu zimetoka mfukoni kwa hr, au zimetoka wapi? Na kama zimetoka kwa hr basi hyu jamaa ni bilionia.kwa habar zaid sikiliza redio ya zenj fm