Nadhani Kiswahili kinakupa shida! Nalo ni tatizo, nimeorodhesha jamii ya watu waliohudhuria katika mkutano au hukuona! Wenye akili timamu wote wapo majumbani mwao.
kiswahili hakinipi shida ndugu yangu,hayo magari uliyoorodhesha nachojua yatabeba watu si wanyama na hayo makundi uliyotaja ndiyo wafuasi wenyewe wa vyama mkuu,wawe wanafuata ngoma,wanafuata wanawake etc ndiyo wapiga kura wenyewe,kura ya jk na wewe ni sawa kwa hivyo kuwadharau si sahihi.kumbuka kuwa kwenye siasa kinachotakiwa ni wafuasi tu si wataalam,hisia zako usitake zimwingie kila mtu.
Assuming kwamba unaclhoongea ni kweli, kuna ajabu gain mtu kutisha kwao? Je, hao wanaokodishiwa ndege na kujaza mahoteli wanatoka wapi, kwa nini waje huko huyu bwana huko ni kwao na anakubalika? Hivi huko Wawi si ndo kule walikombebea mabango ya kumlaani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.