Amewasili na Kundi la waandishi kutoka tzbara.
Meli 5 ziliwasili zikitokea Tanzania bara kupitia Unguja.
Hoteli za Chake Chake zimejaa wageni waliopanga kuhudhuria mkutano huo.
Jana watu wa mikoa tofauti ya TZ bara walikuwa wakitembea tembea madukani kufanya Shopping ya viitu vya majumbani(electronic)
ndege 3 zikitokea dar zitawasili saa 4:30 kuelekea uwanjani moja kwa moja
amelipia mabilion ya shilingi kwa Redio ya Zenj Ifm ili kurusha matangazo yake moja kwa moja kutokea uwanja wa mapambano
Hii habari imekaa kwa kutengenezwa,mwandikaji amewezaje kufuatilia mambo hayo yote!!?hata kama ni kweli hizo pesa zimetoka wapi??kauli ile kuwa huyu jamaa anatumwa na watu sasa inaanza kuniingia kichwani,mtu unaweza kujimaliza huku ukifikiri kuwa unajiimalisha,hata hivyo kila la kheri.