Ni kazi nzito kujua na kuweza kusema kwa uhakika Kati ya Seif Sharif Hamad na Hamad Rashid nani anaongoza kwa uchu wa madaraka
Uasi wa Hamad Rashid ndani ya CUF umepata uungwaji mkono usio wa kawaida katika vyombo vya habari Tanzania kama kwamba tukio kama hilo halijapata kutokea kwa vyama vyengine au ni mara ya mwanzo katika CUF.
Zaidi ya uungwaji mkono huo, sasa msajili wa vyama bwana Tendwa na Jaji Werema nao wameingilia kati kuonesha kutoridhishwa kwao na uamuzi madhubuti uliochukuliwa na uongozi wa CUF. Haipendezi kwa wanasheria hao kushikilia habari za mahakama ilhali viongozi wa CUF wameshasema hawakupokea amri ya mahakama.
Ukweli ambao wanasiasa na wanaJF hawapendi kuusema ni kuwa Hamad ni mtaji maalum wa kukivuruga CUF. Na kwanini iwe CUF? Ni mkakati wa kuimeza Zanzibar.Kwa upande mwengine CUF si chama cha kiislamu lakini kwa vile kimeasisiwa Zanzibar waislamu ni wengi na hii imekuwa nongwa. Katika mtazamo uliompana huu ni mwendelezo wa kuzima ushiriki wa waislamu katika siasa na hii ni vita ya kimataifa dhidi ya uislamu.
Uasi wa Hamad Rashid ndani ya CUF umepata uungwaji mkono usio wa kawaida katika vyombo vya habari Tanzania kama kwamba tukio kama hilo halijapata kutokea kwa vyama vyengine au ni mara ya mwanzo katika CUF.
Zaidi ya uungwaji mkono huo, sasa msajili wa vyama bwana Tendwa na Jaji Werema nao wameingilia kati kuonesha kutoridhishwa kwao na uamuzi madhubuti uliochukuliwa na uongozi wa CUF. Haipendezi kwa wanasheria hao kushikilia habari za mahakama ilhali viongozi wa CUF wameshasema hawakupokea amri ya mahakama.
Ukweli ambao wanasiasa na wanaJF hawapendi kuusema ni kuwa Hamad ni mtaji maalum wa kukivuruga CUF. Na kwanini iwe CUF? Ni mkakati wa kuimeza Zanzibar.Kwa upande mwengine CUF si chama cha kiislamu lakini kwa vile kimeasisiwa Zanzibar waislamu ni wengi na hii imekuwa nongwa. Katika mtazamo uliompana huu ni mwendelezo wa kuzima ushiriki wa waislamu katika siasa na hii ni vita ya kimataifa dhidi ya uislamu.
kila kitu udini kila kitu mpaka mchomekee udini..
hivi seif ni budha? wajumbe waliomuondoa ni mapentekoste?
ukweli kilichomponza ni uchu na tamaa ya madaraka ambao upo huko cuf!!!!
si hamad peke yake hata wajumbe waliopo humo cuf wana uchu wa madaraka.
hamada rashid hawezi kamwe kuwa mtaji wa vita kandamizi dhidi ya uislamu. Ila najua ni mkakati maalumu wa kuigawanya pemba ikose nguvu ya cuf na hapo ndio utakuwa ni mwisho wa nguvu ya cuf pemba. Chama kipya cha hamad kitakuwa na nguvu kubwa katika..... Lakini bado ana fursa ya kuhamia chadema kama nilivyodokeza awali...
Ukweli ambao wanasiasa na wanaJF hawapendi kuusema ni kuwa Hamad ni mtaji maalum wa kukivuruga CUF. Na kwanini iwe CUF? Ni mkakati wa kuimeza Zanzibar.Kwa upande mwengine CUF si chama cha kiislamu lakini kwa vile kimeasisiwa Zanzibar waislamu ni wengi na hii imekuwa nongwa. Katika mtazamo uliompana huu ni mwendelezo wa kuzima ushiriki wa waislamu katika siasa na hii ni vita ya kimataifa dhidi ya uislamu.
HAmad Rashid ana uchu wa madaraka.
Uasi wa Hamad Rashid ndani ya CUF umepata uungwaji mkono usio wa kawaida katika vyombo vya habari Tanzania kama kwamba tukio kama hilo halijapata kutokea kwa vyama vyengine au ni mara ya mwanzo katika CUF.
Zaidi ya uungwaji mkono huo, sasa msajili wa vyama bwana Tendwa na Jaji Werema nao wameingilia kati kuonesha kutoridhishwa kwao na uamuzi madhubuti uliochukuliwa na uongozi wa CUF..., Katika mtazamo uliompana huu ni mwendelezo wa kuzima ushiriki wa waislamu katika siasa na hii ni vita ya kimataifa dhidi ya uislamu.
kwa mtazamo wangu Hamad ni mtendaji kazi mzuri, na mwelekeo wa uchangiaji wake mada bungeni unaegemia utaifa zaidi ya uchama na 'ushabiki'. Kutaka madaraka si dhambi, na ili kuleta mabadiliko wakati mwingine kuwa na madaraka ni muhimu. Mgogoro uliopo ni kiashiria cha demokrasia 'legevu' ndani ya CUF, wenye madaraka hawako tayari kuyaachia, Hamadi amethubutu kuongea and he 's paying the price..!<br><br>
Siasa za miaka hii hakuna demokrasia wala nini.Kila kundi linaangalia maslahi yake na huwa wamekaa kimtego mtego kutumia fursa inayopatikana.Ukweli pekee aliousema Seif jana kati ya mengi aliyonayo moyoni ndio uhalisia wenyewe.Kwamba kuna watu wengi hawakupenda muafaka uliofikiwa Zanzibar.Kwa uhakika kati ya hao ni wakristo popote walipo Tanzania.Kwa mtiririko huu wa ujengaji hoja unapaswa kujifua zaidi katika logic. Hisia zimekuongoza zaidi ya hoja madhubuti. Kwa hiyo wataka kusema:
A) CUF ni chama cha waislamu ama ni chombo pekee ambacho kwacho ushiriki wa waislamu katika siasa hufanyika?
B) Hamad Rashid ni wakala wa upinga uislam?
C) uliambatanisha pia hoja kuwa kwa kitendo cha msajili wa vyama na mwanasheria mkuu kuonesha kutofurahishwa na kufukuzwa uanachama kwa Hamad ni "mpango wa kuimeza Zanzibar", kivipi? CUF=Zanzibar?
.Siasa za miaka hii hakuna demokrasia wala nini.Kila kundi linaangalia maslahi yake na huwa wamekaa kimtego mtego kutumia fursa inayopatikana.Ukweli pekee aliousema Seif jana kati ya mengi aliyonayo moyoni ndio uhalisia wenyewe.Kwamba kuna watu wengi hawakupenda muafaka uliofikiwa Zanzibar.Kwa uhakika kati ya hao ni wakristo popote walipo Tanzania.
Inasemekana HR anatumiwa,yawezekana kwa udhaifu wake anatumika bila kujijua.Wakristo walipoona hali yake walitumai sana kazi itakuwa nyepesi.Lakini CUF ni chama madhubuti sana katika kushughulika na watu wa aina ya Hamada.Aliposhughulikiwa wakristo wamechanganyikiwa.Bila aibu wanaropokwa na kumtetea mhalifu.
Maelezo yangu ya juu yanajibu a na b.Hiyo c ni kuwa hawa watu wapo kama watendaji wa serikali lakini kwa ndani ni watekelezaji wa malengo yaliyo kinyume cha katiba kwa faida za hapo a na b.Nitashangaa ukinipinga kwa hili wakati vitu kama Chama cha wanajeshi wakristo ndani ya majeshi yetu bado havijajibiwa.
Uasi wa Hamad Rashid ndani ya CUF umepata uungwaji mkono usio wa kawaida katika vyombo vya habari Tanzania kama kwamba tukio kama hilo halijapata kutokea kwa vyama vyengine au ni mara ya mwanzo katika CUF.
Zaidi ya uungwaji mkono huo, sasa msajili wa vyama bwana Tendwa na Jaji Werema nao wameingilia kati kuonesha kutoridhishwa kwao na uamuzi madhubuti uliochukuliwa na uongozi wa CUF. Haipendezi kwa wanasheria hao kushikilia habari za mahakama ilhali viongozi wa CUF wameshasema hawakupokea amri ya mahakama.
Ukweli ambao wanasiasa na wanaJF hawapendi kuusema ni kuwa Hamad ni mtaji maalum wa kukivuruga CUF. Na kwanini iwe CUF? Ni mkakati wa kuimeza Zanzibar.Kwa upande mwengine CUF si chama cha kiislamu lakini kwa vile kimeasisiwa Zanzibar waislamu ni wengi na hii imekuwa nongwa. Katika mtazamo uliompana huu ni mwendelezo wa kuzima ushiriki wa waislamu katika siasa na hii ni vita ya kimataifa dhidi ya uislamu.