Usipende kudhania mambo, MHE. HAMAD r. Moh'd Ni mtu wa principal, hawezi kuyumbishwa na akili nyepesi Kama hizi za kwako na zakina Jusa na Mtatiro, Huo Ubunge unaozungumzia hapa sio sababu ya yeye kung'ang'ana na cuf ilhali kwa kupitia yeye chama lishajifia. Nijuavyo Ni kwamba kuna kesi ya msingi mahakama kuu inayomzuia kufanya shughuli za kisiasa especially zinazohusu suala zima la kesi husika na AMA kujihusisha kwny uundaji wa chama cha kisiasa hivyo hawezi kuvunja amri ya mahakamA Kama wale kina Juha ooh sore jus...Ana maamuzi thabiti na alikwishasema yeye sio Malaya wa kisiasa na endapo atashindwa kesi na kuvuliwa uanachama (jambo ambalo haliwezi kutokea kutoka a na maamuzi ya kisultani na ujuha uliopitiliza wa viongozi husika wa chama-ya kumtimua of coz) ataanzisha chama kipya.