Hamad Rashid na chama kipya

Hamad Rashid na chama kipya

cck,,chusta,aifa cuf,pptmandeleo,dp hamadi rashid political party,kafulila political party n.k hivi vyama vyakufutilia mbali havina tija kwa taifa kwa sasa
 
Anafikiri watanzania tunafurahia utitiri wa vyama, mshenzi kweli huyu jamaa
 
Dhambi aliyoisema nyerere, wameanza kugombana Zanzibar... HR kuhamia Tanganyika?
 
hr ajienge na PPT- MAENDELEO kwani ni chma kilichotulia na m,kiti wake PETER KUGU ni mtu muelewa anahistoria inayofanana na yake ya kuondoka TLP.

NAJUA ANATAKA KUGOMBEA URAISI APPT WATAMAPA NAFASI AENDE,
 
vyama vipo vya ila cha kujiunga ndio kazi kuchagua ushauri wa bure asianzishe chama aende APPT- MAENDELEO
 
cck,,chusta,aifa cuf,pptmandeleo,dp hamadi rashid political party,kafulila political party n.k hivi vyama vyakufutilia mbali havina tija kwa taifa kwa sasa

Demokrasia haipangi idadi ya vyama katika nchi husika, umakini wa chama ndio unaweza kukifanya kishike dola AMA la. hivyo kusema vyama Vingi havina tija sio sawa na Ni Ubinafsi na inaonyesha Wewe ndio wale wenye Ubinafsi uliopitiliza na komenti Kama hii Yako inaonyesha Ni kwa personal interest.
Nakupa Mifano hai Huko kwenye demokrasia ya ukweli: Nchini Marekani (USA) kuna vyama vya Kisiasa vya KITAIFA 41 vilivyosajiliwa kihalali na vinaendesha shughuli zake za kisiasa Kama kawaida. KATI ya mwaka 2001 -2011 tu wamesajili vyama vipya vya kisiasa 17 na latest one kinaitwa Justice Party kilichopata usajili wake wa kudumu mwezi November mwaka jana.
KUNA REGIONAL PARTY almost kila State ina vyama hivi Mfano New York City kuna kinachoitwa Liberal Party of New York, na pia kuna Historical Party eg: National Regional Party kilichoanzishwa mwaka 1864 na Federalist Party founded 1789. Ni idadi kubwa sana ya vyama iliyopo hapa.
Nenda INDIA KUNA UTITIRI WA VYAMA idadi yake Ni kubwa mno. Kwa ufupi idadi ya vyama vinavyoanzia na initial "A" Ni vyama 141, na vinavyoanzia na initial "J" viko 74. Just a few.
Vipi unahoji UTITIRI wa vyama Tanzania ilhali havifiki hata 20?!!
jipange.
 
hasan124, mbona unakuwa mkali sana mkuu, inakuwaje leo CUF imekuwa mbaya, kimekuwa chama kisicho na demokrasia? Ni baada ya kutaka uongozi ndani ya chama?
When did you guys reaalise that CUF hakifai?
 
hasan124, mbona unakuwa mkali sana mkuu, inakuwaje leo CUF imekuwa mbaya, kimekuwa chama kisicho na demokrasia? Ni baada ya kutaka uongozi ndani ya chama?
When did you guys reaalise that CUF hakifai?

Kuna mambo yanakera sana, just imagine mtu hakujui kisa umeonyesha umesimamia upande upi then yeye anakukashifu from no where only that yuko against na Wewe. Nadhani kuna watu wengi tu hawako serious huku JF.
Also sidhani Kama hujaona mapungufu ya demokrasia ndani ya cuf, vp nahitaji kukuelezea huo ufinyu wa demokrasia uliojitokeza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom