HAMAD RASHID katika Njama za Kumng'oa Maalim Seif?

Chama cha siasa ni sawa na mtu,huzaliwa,hukua,hustawi,huzeeka,hudhoofu na hufa...Niliwahi kufikiri kwanini vyama vya siasa visiwe na M/S mwanzoni km makampuni? kwa kua mchakato wake ni sawa na makampuni tu ila tofauti ni namna ya uendeshaji...Zama za Seif zimeshapita,alichokua anatafuta nadhani kimetimia hivyo hana la haja tena kwa sasa...Ni msiba kwa wapenda mabadiliko kwa kua wataburuzwa mpaka pale atakapoibuka tena mtu mwenye uthubutu wa kudai anachofikiri ni haki!
 
Mbona mna haraka ??? Mpira unaochezwa na CUF kwenu ni mgumu sana na hamuwawezi ,tena inaonekana hamjui hata fomula wanayotumia ,yaani watu dizaini zenu ni watu waliofilisika kisiasa na hamjui mtendalo ,Kama ni kutuliza boli basi CUF wametuliza na wanacheza huku wakionana kwa pasi ndefu na fupi ,wakiwa na uhakika kabisa wa goli la ushindi nalo ni kuweka mguu wa pili Ikulu !!!
 
Kwa wapenda mageuzi na mabadiliko hili si jambo la kufurahia hata kidogo sasa kama wapinzani ambao wangeweza kuwa mmbadala wa CCM wanagombana ni lini tutakuwa pamoja ili tumng'oe mkoloni mweusi CCM sasa ka CUF ikipagaranyika zanzibar CCM si itapeta tu. Mi nachotaka ni CCM iondoke madarakani haijalishi ni nani atamtoa hata ka ni TFF mi poa tu
 
Hivi Mlima Kilimanjaro sorry Profesa Lipumba bado ni mwenyekiti wa CUF? Kama ndio, kazi yake hasa ni nini ndani ya chama?
Duh!! kumbe hujui kuwa Prof Lipumba ni picha tu inayotumiwa kwa ajili ya katiba tu, lakini bosi wake ni Maalim Seif? tumeshuhudia jinsi anavyopanga foleni kumwona akienda kupeleka ripoti Zanzibar, pia nae Seif anatumiwa na Waarabu wa Oman wanaotuma pesa kwa kupitia kwa kina Imail Jussa, anaepandishwa cheo sasa baada ya kazi yake ya kuchochea chuki dhidi ya wakoloni weusi yaani Tanganyika kushindwa, sasa anapewa kazi tu ya unaibu katibu mkuu Cuf.
 
Dah Maalim seif walivyomchakachua....alikuwa tumaini la wazanzibar lakini wapi...leo hii wanajuta!!kawasaliti. NikikumbuKa ule umati wa wanamama juani wakimsiliza kipindi cha kampen nahis naweza kulia!!
 
Mi kila mara nawaambia hamnisikii, cuf sio chama!, we uliona wapi chama mgombea 1 miaka 25?, watu wale wale leo wanapinga kesho wanatetea ccm?! Mnakumbuka maalim alivyoenda kula starehe ulaya na Mangula katibu mkuu wa ccm kipindi hicho?, pale ndipo walikamilisha mkataba wa kuiuza cuf kwa ccm!, pole yao wanaoamini cuf, lipumba, seif, haji duni na hamad kama ni wapinzani!, wamuulize rwakatale
 
Mbona mna haraka ??? Mpira unaochezwa na CUF kwenu ni mgumu sana na hamuwawezi ,tena inaonekana hamjui hata fomula wanayotumia ,yaani watu dizaini zenu ni watu waliofilisika kisiasa na hamjui mtendalo ,Kama ni kutuliza boli basi CUF wametuliza na wanacheza huku wakionana kwa pasi ndefu na fupi ,wakiwa na uhakika kabisa wa goli la ushindi nalo ni kuweka mguu wa pili Ikulu !!!

Sio haraka wala nini. Kajaribu mara nne mfululizo kesha kata tamaa, and decided to look after number 1 (ie. his own welfare)!
 
Mbona mna haraka ??? Mpira unaochezwa na CUF kwenu ni mgumu sana na hamuwawezi ,tena inaonekana hamjui hata fomula wanayotumia ,yaani watu dizaini zenu ni watu waliofilisika kisiasa na hamjui mtendalo ,Kama ni kutuliza boli basi CUF wametuliza na wanacheza huku wakionana kwa pasi ndefu na fupi ,wakiwa na uhakika kabisa wa goli la ushindi nalo ni kuweka mguu wa pili Ikulu !!!

Kweli kabisa, huyo Mwarabu Ismail Jussa alipewa kazi ya Kuchochea chuki dhidi ya Ukoloni Mweusi yaani Tanganyika, baada ya kushindikana sasa ni Naibu wa CUF, yeye na Mwenzake Mnyaa bosi mdogo wa Upinzani bungeni ndio Waarabu wa Cuf wanaoifadhili kwa kutumia mshiko toka Oman, ukiona wanapokea vyeo vya Cuf yao ni kuwa Maalim anakaribia kukaa pembeni na kuwarudishia wenyewe waarabu kampuni yao ya Cuf yenye nia ya Kuvunja Muungano daima, ili Ukoloni mweusi uishe na Waarabu waliofukuzwa na Karume na Nyerere warudi, hii mpaka kesho ndio ajenda ya kweli ya CUF, hicho ki Lipumba, Sakaya, Julius ni picha za dekoresheni tu?
 
Hamad Rashid anadaiwa kupanga mkakati wa wa kumuengua Maalim Seif kwa madai kwamba tangu aingie kwenye Serikali ya mseto kama Makamu wa kwanza wa Rais ameshindwa kukiendeleza chama na kinaelekea kumezwa au kufa kabisa.

Mytake: Hamad Rashid mbona alikuwa anaitetea sana serikali ya mseto? Je, hakujua madhara yake?

Source:Tanzania Daima la Leo 25.05/2011 Hamad Rashid Kitanzini

Huu ni uongo na uzushiii
 
Amalizie tu adhma yake ya kuhamia cdm kabla ya 2015. Unajua ukiwa sehemu mbovu maranyingi mambo yako hayaendi sawasawa. Komaa tu hamadi.:mod:


Naona yameshasemwa mengi juu ya hiki chama, Wazanzibari na Hamadi Rashid.
Sifikiri kwamba kitendo cha mtu binafsi kinaweza kukimaliza chama chochote kati ya CUF na CCM kule Zanzibar kwani hivyo ni vyama vya wananchi si vya ufisadi kama upande wa pili.
Kuhusu Hamad Rashid, yeye pamoja na elimu na uzoefu wake hawezi kukitingisha CUF kwani vipindi viwili vilivyopita huyu jamaa aliangushwa kwenye kura za maoni na akaokoka kwa skandal la passport. Huko nyuma aliokolewa na Mkapa hivyo si tatizo kwa CUF waliozoelea vitendo hivi vya kisaliti.
Kuhusu Serikali ya Mseto jamani mbona hamueleweki nyie? Hivyo kwenu mambo ya Tarime, Arusha na kwengineko mnaona ni issue ya kuipigia debe? Iwapo Wazanzibari wameamuwa kula mseto na nyie mmeamuwa kula sembe kinachowauma nini? Mbona hamuelewi kitu demokrasi? Tuwachieni kwa hili la Serikali ya Mseto at least hadi hapo tutakapotaka msaada kama ule wa kazi mlioozoelea ya mauwaji ya 2000 kule Pemba!
 
Kweli kabisa, huyo Mwarabu Ismail Jussa alipewa kazi ya Kuchochea chuki dhidi ya Ukoloni Mweusi yaani Tanganyika, baada ya kushindikana sasa ni Naibu wa CUF, yeye na Mwenzake Mnyaa bosi mdogo wa Upinzani bungeni ndio Waarabu wa Cuf wanaoifadhili kwa kutumia mshiko toka Oman, ukiona wanapokea vyeo vya Cuf yao ni kuwa Maalim anakaribia kukaa pembeni na kuwarudishia wenyewe waarabu kampuni yao ya Cuf yenye nia ya Kuvunja Muungano daima, ili Ukoloni mweusi uishe na Waarabu waliofukuzwa na Karume na Nyerere warudi, hii mpaka kesho ndio ajenda ya kweli ya CUF, hicho ki Lipumba, Sakaya, Julius ni picha za dekoresheni tu?
Hizi siasa eti huyu Mwarabu huyu mmakonde mnazijuwa nyinyi watu wenye makabila. Wewe umesikia wapi Mwarabu akaitwa Jussa au Mnyaa kuwa Mwarabu? Zanzibar mlipoivamia kwa hila mlikuwa mkijuwa kuwa ni kisiwa chenye mchanganyiko wa watu waliowakiishi kwa umoja wao. Mkatumia njia za kinafiki kutaka kuwagawa Wazanzibari lakini mlishindwa mwishowe na haya ndio matukio yake ya Wazanzibari kuwa kitu kimoja kama Wazanzibari sio kama Warabu au weusi.
Iwapo akili yako inakwambia kutaka Muungano wa haki ni kuuvunja Muungano basi hilo si kwa CUF tu bali hata CCM kwani matamko ya kutaka haki kwenye Muungano husemwa wazi na kila Mzanzibari bila ya kujali itikadi ya Chama.
 
Unacheza na kuolewa nini, ndoa imekolea hiyo...ulishaona kama mke anapewa mapenz motomoto na mmeo atalalamika wapi wakati anamlidhisha????? :smow:
 
Mi kila mara nawaambia hamnisikii, cuf sio chama!, we uliona wapi chama mgombea 1 miaka 25?, watu wale wale leo wanapinga kesho wanatetea ccm?! Mnakumbuka maalim alivyoenda kula starehe ulaya na Mangula katibu mkuu wa ccm kipindi hicho?, pale ndipo walikamilisha mkataba wa kuiuza cuf kwa ccm!, pole yao wanaoamini cuf, lipumba, seif, haji duni na hamad kama ni wapinzani!, wamuulize rwakatale

Kwa kuongezea CUF kilibadili mwelekeo wa kisiasa, hivi sasa ni PRIVATE enterprise inayoongozwa na Chairman Lipumba na CEO Maalim Seif wanachosubiri ni RUZUKU tu, wanamtumia Lipumba kuwahadaa masheikh kwa kitu kidogo ili kuendeleza fitina za kidini misikitini.

Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
Watu munatakiwa kujua kua zanzibar ya sasa hatuhitaji sana vyama vya siasa tunahitaji maendeleo zaidi.

Kule zeji watu wameshashituka sasa na nyinyi Tanganyika mkikua mutatuelewa na huenda mukafuta hizo njia tutakazopita.

Nasema haya kwakujiamini kwani kila nikiiangalia Tanganyika naiona zanzibar yazamani imehamia huko(wanasiasa kupigana,viongozi kuzomewa,wafuasi wa vyama vyaupinzani kusweka ndani bila ya kesi,maandamano yasioisha,risasi nje nje polisi kuwapiga raia n,k) Hivyo ndivyo ilivyokua zanzibar ya 1995-2005.

Kwasasa hatujajuta bado na tunatamaa kubwa ya maendeleo ya wananchi na sio ya vyama,huenda sikuza mbele vyama vikakosa soko Zanzibar.

Unakumbuka ule wimbo enzi ya mwalimu? "Ili tuendelee mambo manne, watuuu, ardhiii, SIASA SAFI na uongozi boraaa ...."

Sasa bila SIASA SAFI na UNGOZI bora maendeleo mtayapata wapi yakheee?
 
Back
Top Bottom