Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Hamad Rashid anadaiwa kupanga mkakati wa wa kumuengua Maalim Seif kwa madai kwamba tangu aingie kwenye Serikali ya mseto kama Makamu wa kwanza wa Rais ameshindwa kukiendeleza chama na kinaelekea kumezwa au kufa kabisa.
Mytake: Hamad Rashid mbona alikuwa anaitetea sana serikali ya mseto? Je, hakujua madhara yake?
Source:Tanzania Daima la Leo 25.05/2011 Hamad Rashid Kitanzini
Mpaka kieleweke, safi sana. Huyo amekaa sana katika hiyo nafasi.:mod: