Hamad Rashid (CUF) na Ole Sendeka on TBC1

msamehe bure hajui anafanya nini alidumazwa na sera za ccm.. using'ang'anie chama kimoja kama dini..by mwl nyerere siku hizi yenyewe watu wanabadili dini nini chama pole sana sendeka
 
Hamad anaongelea uteuzi wa tume ya katiba. Anatetea rais kufanya uteuzi wawajumbe na kutengeneza hadidu rejea. Eti katiba ya sasa inampa madaraka kufanya teuzi mbalimbali bila kushirikisha bunge. Upupu tu. Naona cuf wameamua kuwa ccm b kabisa kabisa.
Wame break sasa kupata habari za michezo wakirudi ole sendeka naye ataongelea madaraka ya rais katika muswada

All these are traitors -Seif Sharif hamad, sendeka, hamad and the team. Watu waliokufa Zanzibar hawakufa ili maalim apate umakamu wa rais wala waungane na CCM. Kuna zaid ya hilo. Uhuru wa kweli. Sasa CUF wanajikomba kwa Kikwete. Watu hawakufa ili hamad aje kumsifia kikwete. Stupid!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
@SOBY:

Unakumbuka tulikuwa tunampigia Mwinyi kura akishindana na kivuli? Hizi ni enzi za CCM.

Unashauri turudi enzi za kura ya ndiyo?
 
Ina maana wote hawa wamekuja kutoa ufafanuzi wa kama wanajadili Katiba Mpya au mchakato?

Inakuwaje wanafanana mawazo (CCM na CUF)?

Sera yao ni moja. Kwa nini TBC hawataki Lissu aungane na hawa ili ajibu hoja zao?
 
Hawa TBC1 kwa nini wasiwainvolve CDM au NCCR ili kuboresha mjadala huu

" nature ya watu wanaowatumia kujadili suala hili haionyeshi umakini wake nasema hivi kwa sababu Lissu amekuwa gumzo bungeni na CDM yake sasa kwa nini asiitwe yeye aje aeleze kwa undani maana ya kauli yake au akosolewe peupe "

Hii ya kuwatumia kila siku CCM & CUF eg jana hainogi kabisaaaa badilisha ladha
 
Nakumbuka sana!

Who influenced the president?

Iitishwe kura ya maoni sasa ya CCM ifutwe au iendelee, au iulize tuwe na vyama vingi vya siasa au turudi chama kimoja?

Unatarajia kura hiyo ikiitishwa watanzania watachagua lipi?
Watachagua vyama vingi. Ila hiyo haiondoi fact kwamba CCM iliruhusu vyama vingi, ingawa referrendum ilikataa.
 
Asilimia 78 ya watanzania walikataa vyama vingi. Unaikumbuka ile referrendum?

Ni baada ya wasomi kushauri kuwa asilimia kubwa ya watz hawana elimu ie illiterates, hivyo hawakujua kinachoendelea juu ya vyama vingi.
 
Sendeka anaumwa? Hivi kwanini wanashikilia kuwa ni CCM iliyoruhusu vyama vingi?

Mbona hawasemi sababu zilizopelekea wao kulazimisha kuwa na vyama vingi?ijapokuwa wananchi walikataa kwa asilimia 80%?

Simply ni external forces.
Then waanzie kutuambia hapo hizo external forces ni za kutoka wapi?
 
Naona ole sendeka anasema kuwa lisu alisema kuwa nyerere alimomonyoa vipengele katika mambo ya muungano na hivyo eti lisu alimtukana nyerere.
Si useme tu_Sendeka(CCM A) na Hamad(CCM B),.....usitegemee jipya hapo
 
@SOBY:

Unakumbuka tulikuwa tunampigia Mwinyi kura akishindana na kivuli? Hizi ni enzi za CCM.

Unashauri turudi enzi za kura ya ndiyo?
Hapana mkuu. Ila ukweli unabaki palepale, CCM iliridhia uwepo wa vyama vingi kinyume na referrendum.
 
Asilimia 78 ya watanzania walikataa vyama vingi. Unaikumbuka ile referrendum?
You are living on your past!!
unataka kusema whatever influenced those chaps to chose otherwise walifanya favour?

Endelea kujifurahisha.
 
Sera yao ni moja. Kwa nini TBC hawataki Lissu aungane na hawa ili ajibu hoja zao?
Well, TBC1 pamoja na kuwa ni chombo cha umma haiwatendei haki watanzania.

Lissu ndo anaonekana victim katika hili, CUF + CCM wanaonekana kuongea lugha moja; kwanini wasimwite hata Kafulila kama wanaona Lissu anasumbua?

This seems to be a mission! Lkn kama alivyosema Sendeka, wananchi tupo juu ya katiba na tunaweza kuikataa katiba iliyopo kwa gharama zozote ikiwa na pamoja na kuamua kulikataa Bunge zima tukafikiria namna mpya ya kuendesha taifa letu.

Kwenye sensitive issues kama hizi u-CCM, u-CDM au u-CUF na u-Zanzibar uwekwe kando, wanasiasa wasituburuze ili wananchi tujione wajinga.

Lissu na wenzake wanaweza kuwa wamekosea SANA, wananchi tunaweza kuwa tumeshang'amua hilo lkn udhaifu huu wa kuwahukumu bila kuwapa nafasi tukaona malumbano ya hoja haitusaidii zaidi ya kutufanya tuanze kuhoji 'nini kinaendelea?'
 
Ole sendeka anaongelea nani yupo nyuma ya uamuzi wa cdm.

Hii ndio janja yao, kwamba kila anayekuwa na mawazo tofauti na ccm lazima ametumwa! Kwa muda sasa Ole Sendeka na wenzake wamekuwa wanaongea huu upuuzi kuwa CHADEMA wanatumiwa (na nani), mara CHADEMA wanapotosha umma. Ni vema Ole Sendeka aanze kujifunza kuheshimu watanzania, wana akili timamu na utashi wa kung'amua mambo. Hatuhitaji seme-illiterate kama yeye (Ole Sendeka) kutueleza what to do.

Kama CHADEMA wanatumiwa basi CCM wanatumiwa zaidi. CCM wanatumiwa na nchi za maharibi kutonyonya ndio maana tuna mikataba mibovu ya madini, ndio maana tunatoa uranium kwa vyandarua vya mbu na ndio maana tunapewa suti ili turuhusu watu wajenge hoteli kwenye mbuga za wanyama.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom