Mmmh ndiyo maana kuna wanasiasa na wataalam wa siasa. Huyu jamaa ndiye anaonekana smart kwenye chama chake CUF. Na kama huyu genius wa CUF anaongea huu upupu (pupuka) sasa waliobaki itakuwaje? Kasahahu kuwa hata yeye alikuwa CCM.
Hilo ni swali la msingi: Genius wa CUF anapochemka, waliobaki inakuwaje?
Hamad kwisha kazi!ww ulitaka waende wapi?CUF na Ccm mmeungana,kilichoko cuf ndicho kilichoko ccm,pia wanaangalia chama kipi kinapendwa na wtanzania,kip kinalengo la dhati la kumkomboa mTz,kipi kiko angalao 90% ya tz.uende cuf kiko 0.005% ya tz ili iweje?mwisho nimtie moyo kuwa kigogo wa ccm anayetoka pemba pekee ndiye anaweza kujiunga cuf.lakini wengine wote People' Power!
Huyu jamaa kenge kweli, hivi Maalim Seif Katibu mkuu wa CUF alikuwa waziri kiongozi alikuwa mwanachama wa chama gani?Hao Viongozi wote wa CUF walitoka Wapi? hata yeye alikuwa Mshauri wa Rais Mwinyi wakati huo haupati madaraka hayo kama wewe sio CCM
Muelewe kama zwazwa tu!Lipumba alikuwa CCM
Maalim alikuwa CCM
Juma Duni alikuwa CCM
Marhem Shaban Mloo (Apumzike kwa Amani) alikuwa CCM
Machano alikuwa CCM
Musobi alikuwa CCM
Mapalala alikuwa CCM
Hamad Rashid alikuwa CCM
Orodha ni ndefu unaweza kuiongeza
SIJAMUELEWA WALA SITAMUELEWA HAMAD RASHID JUU YA HILI
Muelewe kama zwazwa tu!
Hamadi na wewe ulitokea huko lakini!
Asante JF kwa kumbukumbu mujarabu kama hizi.