Msambichaka Mkinga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 1,646
- 2,911
Chama au mgombea wana uwezo wa kujitoa katika hatua yoyote ile ya uchaguzi. Hapa ADC inachotakiwa ni kuitaarifu Tume ya Uchaguzi kuwa hawana mgombea wa Kiti cha Urais kwa sababu waliyekuwa naye amefukuzwa uanachama, na siyo mwanachama wao tena.Bado ni mgombea kwa mujibu wa tangazo la JECHA