Hamad Rashid avuliwa uanachama ADC

Hamad Rashid avuliwa uanachama ADC

Akuna msaliti aliyeishi sehemu kwa amani ataenda kwa wasaliti wenzake alitumika na nguvu zake za siasa ndio zimeisha
 
Source we mwenyewe, mtu ambaye sijawahi kukuamini. Hamad anawanyia uchingizi eeeeeh
 
Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ADC Zanzibar amevuliwa uanachama wa chama hicho baada ya kuunga kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar ZEC, Bwana JECHA.


Dhambi ya usaliti malipo ni hapa hapa duniani.
He kumbe haikuwa kauli ya chama chake ile!!!!1 Huyu atafukuzwa kila mahali!!!!
 
ni hivi , ukubwa wa laana ya usaliti umewekwa wazi sana ndani ya vitabu vitakatifu , hapo bado , kwa mujibu wa maandiko matakatifu yatamfika makubwa zaidi , shukrani zimwendee Mwenyezi Mungu ambaye aliweka utaratibu huu miaka mingi iliyopita .
..Mungu ahesabu makosa ya binadamu yeyote.
 
Hii itakuwa na implication gani kisheria kama uchaguzi utarudiwa huko Zanzibar? Kwa sababu Jecha kasema karatasi za marudio ya uchaguzi ni zile zile za oct 25 ambazo zilikuwa na sura ya Hamad Rashid kama mgombea urais. Kama amefukuzwa uanachama ADC maana yake pia amepoteza sifa ya kuwa mgombea urais. Je Jecha na ZEC yake ya mafichoni wataendelea kutumia karatasi zile zile?
 
Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ADC Zanzibar amevuliwa uanachama wa chama hicho baada ya kuunga kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar ZEC, Bwana JECHA.


Dhambi ya usaliti malipo ni hapa hapa duniani.

Kale nako sijui kakoje?! Vululu vululu sana bora wakakomeshe; kanafiki sana!
 
Back
Top Bottom