MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Dhambi ya usaliti itakimbizana naye mpaka mauti!
Atarejea CCM.Uyuda utawaua wengi,sijui ataenda ACT?
Huko ndiko mahali pake panapomfaaUyuda utawaua wengi,sijui ataenda ACT?
Katika wanasiasa wanaoongoza kujidhalilisha Hamad Rashid anafuatia nyuma ya muuaji wa PanyaDhambi ya usaliti itakimbizana naye mpaka mauti!
ACT ni shimo la unafiki uliokubuhuACT ndo size yake.
Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ADC Zanzibar amevuliwa uanachama wa chama hicho baada ya kuunga kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar ZEC, Bwana JECHA.
Dhambi ya usaliti malipo ni hapa hapa duniani.
Kwa chama ambacho ni kama kilabu ya chandimu sidhani kuna cha kujuta ,hicho nacho chama,walidhani wangepata mtaji kwa kumtumia mgombea wao,ADC ni kama kijiwe cha kahawa tu.malipo ni hapa hapa duniani
kawa sawasawa na ChibudaAliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ADC Zanzibar amevuliwa uanachama wa chama hicho baada ya kuunga kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar ZEC, Bwana JECHA.
Dhambi ya usaliti malipo ni hapa hapa duniani.
Hajavuliwa chochote na jana ameendesha kikao na ameonekana kwenye tv utamvua uanachama kwenye chama abacho ni mali yakeAliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ADC Zanzibar amevuliwa uanachama wa chama hicho baada ya kuunga kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar ZEC, Bwana JECHA.
Dhambi ya usaliti malipo ni hapa hapa duniani.
Jecha nani?Jecha kasema hakuna mabadiliko ya mgombea, ADC hawana mgombea?
Akuna msaliti aliyeishi sehemu kwa amani ataenda kwa wasaliti wenzake alitumika na nguvu zake za siasa ndio zimeisha