charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Hatimaye kigogo wa siasa za upinzani mhe Hamad Rashid amepita bila ya kupingwa katika uchaguzi unaoendelea hivi sasa bungeni dodoma. Alikuwa akigombea ukamishna wa kamati ya utumishi wa wabunge. Chadema wamkubali na Mhe Shibuda ajitoa na kumuachia.