Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,918
Sasa tupo kwenye kupatwa kwa siasa zetu za vyama vingi kwa hama hama ya wanasiasa wetu.
Tafsiri zipo nyingi ila hizi Chache zimebeba mawazo ya wengi;
1. Kukua kwa demokrasia.
WaPo wanaosema demokrasia yetu imekua kwani watu WaPo kwenda watakako wakati wowote.
2. Uzalendo.
Kwa ajili ya mapenzi makubwa kwa nchi Yao wanaona ni Vyema kuungana na fungu lililo jema.
3. Usaliti.
Kukana imani zao za awali pamoja na wale walioweka matumaini kwao inaonekana kama usaliti.
Je lipi hasa Kati ya hayo matatu limebeba tafsiri sahihi ya hama hama za viongozi na wanasiasa?
Tafsiri zipo nyingi ila hizi Chache zimebeba mawazo ya wengi;
1. Kukua kwa demokrasia.
WaPo wanaosema demokrasia yetu imekua kwani watu WaPo kwenda watakako wakati wowote.
2. Uzalendo.
Kwa ajili ya mapenzi makubwa kwa nchi Yao wanaona ni Vyema kuungana na fungu lililo jema.
3. Usaliti.
Kukana imani zao za awali pamoja na wale walioweka matumaini kwao inaonekana kama usaliti.
Je lipi hasa Kati ya hayo matatu limebeba tafsiri sahihi ya hama hama za viongozi na wanasiasa?