Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,436
- 4,429
Hili jambo nimeliandika sana. Gazeti la Tazama, kwa kujipendekeza likaona litenge matoleo maalumu "kunishughulikia". Kinachoendelea kwenye uchaguzi wa marudio ni ujinga wa hali ya juu. Kizazi kijacho kitatucheka na kutudharau sana. Mabilioni haya yangeweza kufanya kazi nyingine za maaa kwa ustawi wa watu wa taifa letu. Ibadilishwe haraka.Hili ni jambo jema, tulishauri hivyo hapa
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!. - JamiiForums
P