riro23
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 790
- 781
Walionunuliwa na tigo ni zantel sio halotelkumbe wamenunuliwa na tigo basi kazi ipo ndio maana
Walionunuliwa na tigo ni zantel sio halotelkumbe wamenunuliwa na tigo basi kazi ipo ndio maana
Word√√Kawaida sana tu,hata hili litazoeleka,na ukisema sana watakujibu watanzania wanapenda vitu vya bure,poor service,kuna haja mitandao ya simu ipewe bei elekezi na masharti makubwa watanyooka,wakikimbia tutarudi nyumba kupanogesha.
HakunaKwa wale wapenzi wa kudownlaod movies, games na mafaili yenye ukubwa sana imekua pigo kwetu baada ya mtandao pekee uliokua umebakia na kifurushi kizuri cha internet cha usiku halotel ile unlimited kwa 1500 kuondolewa na kushushwa mpaka GB 5 tu.
Je, wadau ni mtandao gani mwingine uliobaki ambao tunaweza kupata huduma ya internet usiku kwa bei poa?