Halotel wanawaibia wateja

Hizo simu za kutumia na wenza wenu ndio matatizo,unamuachia mwanamke wako simu anakopa anapiga simu zake,wewe unabakia kutoa povu.Nenda customer services watakuonesha siku na saa uliokopa
 
Uliwafikishia malalamiko na hawajayashughulikia?
 
Hizo simu za kutumia na wenza wenu ndio matatizo,unamuachia mwanamke wako simu anakopa anapiga simu zake,wewe unabakia kutoa povu.Nenda customer services watakuonesha siku na saa uliokopa
Hakuna Mimi ndiye ninayetumia simu Yangu no one else. Na huo muda natafua nini wakati nimeshalala na simu imezimwa?
 
Nawe unafikiri ni vichaa?kagua vizuri una deni au umeshajiunga na pata Salio automatically, Fanya HV,tuma SMS OFF,Kwenda,14963
Hilo Salio lilitumika wapi wakati nilinunua kifurushi cha mwezi?
 
Hawa wezi bado wapo ? Line yao ninaihesabia siku kuna siku wataikuta barabarani imekatwa.
 
itakua uliwai kukopa au kuomba mkopo wa muda wa maongezi maana halotel unapoomba mkopa wanakuunganisha moja kwa moja yani kila unapoishiwa salio na huku ukiwa hauna deni basi wao wanakukopesha automatic,
Huu ndo tunaita wizi wenyewe kwa nn unikopeshe wakati sijaomba unikopeshe?
Na je huwa kuna notification ya aina yoyote wanayotuma pindi napokuwa sina salio?
 
this is true...... Leo hadi nimewapigia simu ku complain... kesho ninahama rasmi HALOTEL... wizi wao hauvumiliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…