Halotel wana chuma ulete saa hii. Nihamie wapi wakuu?

Halotel wana chuma ulete saa hii. Nihamie wapi wakuu?

6f72ee8c27a4108c4a5092e218e405ed.jpg
Mbona mimi Halotel bado inapendeza sasa? Maana hapo nilijiunga jana 1500+500 MB na nimedownload sana ila ngoma ipo normal?
 
Mkuu vocha za uni zipo mbona?
Zipo ndio lakin wana mpango wa kuzipoteza ndo maana hata supply yake inashuka sana kuna baadhi vocha zimekuwa adimu. Lengo wanataka offer ya chuo ipatikane kwa wateja wote through *149*81#
 
Airtel hao so far nmetoka kujiunga cha jero 1.2gb kwa siku na dk50 airtel huku dkk 10 mitandao yote.

Mwezi sh. 6000 unapata GB4 at least sio mbaya maana mb zao zinaishi tofauti na za hayo majizi ya bundle halotel and other bastards.
Mimi nimehangaika na line zote (airtel, halotel, tigo, ttcl, vodacom) lakini sasa nimeamua kurudi njia kuu. Vodacom ni baba lao.
Mpaka nimepitisha maamuzi ya kila mwezi najiunga kifurushi cha 40,000 napata gb 40. Nikirudi mjini ntaanza kutest ttcl maana ipo mjini tu.
 
Halotel nishawahama siku nyingi na laini yao nikavunja kabisa. Niko naenjoy na kizazi cha T. Toka nimeanza kutumia ttcl sijawahi kujuta. Nanunua vocha yangu ya 5,000 tu kwa mwezi!
Tatizo la network ya ttcl ipo mjini
 
Asee kumbe hiki kilio cha halotel siyo changu tu. Sijui tuwafanyeje wajue tunakwazika nao, na ubaya ni kwamba watu hatuwezi kuwa na msimamo mmoja,pumbavu zao kabisa
 
Wanaiba sana MB yani. Nadhani wanatoa MB kidogo halafu tunadanganywa ni 1.2GB zinayoyoma ndani ya siku mbili tu huna kitu unaambiwa umebakiza MB 5 mara wanakukatia huduma. Halotel ni weziiiiiiii mbayaaaa!!!!
Bora hata wewe ndugu unafikisha siku mbili
 
Asee nilifikiri ni kwangu tu kumbe ni wote sasa dawa ni kuwasema kila mahali pumbavu zao wezi wakubwa hawa
 
Nimenunua kifurushi cha wiki chenye mb 1200 lakini zimeisha ndani ya nusu saa tena nimeingia jamii forums tu basi. Halafu huduma kwa wateja kuwapata ni ishu kweli kweli.
Kwel mkuu ,juz nimewapgia custmer cre akakata cm matusi nilyomtukana ni siri yangu halotel n wez
 
Zipo ndio lakin wana mpango wa kuzipoteza ndo maana hata supply yake inashuka sana kuna baadhi vocha zimekuwa adimu. Lengo wanataka offer ya chuo ipatikane kwa wateja wote through *149*81#
Nimekuelewa mkuu
 
mkuuu unazingua labda hukujiunga,
Ingelikuwa sijajiunga, kwenye salio la kifurushi kusingeandikwa kuwa una dakika 200 halotel- halotel, dakika 15 mitandao yote na mb 0. Naongea kitu nina uhakika nacho. Waache wizi wa mb
 
Hizo vocha Airtel hawana tena maana wanataka kuzipoteza. Just piga *149*81# utapata menu ya chuo yaan vifurushi vya chuo vipo huko kwa wateja wote bila kujar laini ya chuo au lah
Siyo kweli ndugu.
Siyo laina yyte ndugu.
Ukipiga *149*81#
Utaona kipengele namba 4 cha UNI255 Mpya hap ndipo kuna offa zote.
Hiyo ya 600 unaweka hela mpesa unamtumia jamaa anakurushia vocha papo kwa papo. Unajaza
 
Dah!..mkuu hiyo 20gb Kwa cku 6 unajiungaje?,ni kifurushi cha ucku tu?
Ni hivi.
Unaweka buku au zaid airtel money unamtumia jamaa 600 wanakata ya kutuma 50
unapewa kifurushi cha gb 10 kwa siku 3. Kinaisha na unamtumia tena 600 jumla siku 6.
1500 kipo gb 10 kuanzia saa 5-11 kwa siku moja.
Hukunielewa vizuri
Halotel wana cha 1500 gb 10 cha siku moja kuanzia saa 6 mpaka 11 lkn hii 1500 kwa airtel una Gb 20 ukikagawa kwa 600.
Nafikiri umenisoma. Halotel watasubir sana
 
Unajiungaje hii mkuu?
Unaweka pesa airtel money (shilingi 1000) unabonyeza code hii *150*60#
Utabonyeza namba 6 yaani ofa kabambe, kisha utabonyeza 1, halafu 3, halafu 1, 1 moja tena, kisha utaingiza namba yako ya siri ya airtel money.

Utakua ushajiunga.
 
Ni hivi.
Unaweka buku au zaid airtel money unamtumia jamaa 600 wanakata ya kutuma 50
unapewa kifurushi cha gb 10 kwa siku 3. Kinaisha na unamtumia tena 600 jumla siku 6.
1500 kipo gb 10 kuanzia saa 5-11 kwa siku moja.
Hukunielewa vizuri
Halotel wana cha 1500 gb 10 cha siku moja kuanzia saa 6 mpaka 11 lkn hii 1500 kwa airtel una Gb 20 ukikagawa kwa 600.
Nafikiri umenisoma. Halotel watasubir sana
Nimekusoma vzr mkuu,...ngoja nimtumie
 
Back
Top Bottom