keen salva
Member
- Apr 8, 2017
- 73
- 21
Ha ha ha ha ha nafikiri cheap ya chuo hii!!, nami naamia huku airtelAirtel hao so far nmetoka kujiunga cha jero 1.2gb kwa siku na dk50 airtel huku dkk 10 mitandao yote.
Mwezi sh. 6000 unapata GB4 at least sio mbaya maana mb zao zinaishi tofauti na za hayo majizi ya bundle halotel and other bastards.
