NADHANI ZANTEL WAKO POA MI MATAFUTA NIJISAJILI HALOTEL WAMENISHINDADah wanakula bando kama hawana akili nzuri.
Nishaurini laini nyingine
Kweli kabsa niwez nilijua labda matumiz yngu kumbe wananiibiaKwa kweli hamna mtandao wenye speed nzuri km halotel kati ya mitandao niliyowahi kuitumia
Tatizo halotel wamekua wezi siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
unatumia siku ngapiAirtel wako sawa kwa 1000 unapata gb 2 ambazo zitaisha mbele ya macho yako, dk 100 airtel kwa airtel na dk 10 mitandao yote, hakuna wizi hapo.
Ila kuna maeneo ukikaa speed ya net hairidhishi sana.
Vibaka kabisa wanatuchezea shere kwenye mb. Unajiona umepewa 1.2gb kwenye meter yao ila nadhani wanatoa less than that. Maybe hata mb700 tu halafu mbaya ukijiloga ku stream tu kwa youtube umekwisha.Kwa kweli hamna mtandao wenye speed nzuri km halotel kati ya mitandao niliyowahi kuitumia
Tatizo halotel wamekua wezi siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiko cha buku 2 ni cha siku ngapi, mi nimesajili airtel juzi wapo vizuri bundle haliendi chap chap ila speed ndogo tofauti na halotel hata whatsapp call imenizingua sana. Napigaga sana Denmark ila airtel ina reconnect kila saa!Airtel wako sawa kwa 1000 unapata gb 2 ambazo zitaisha mbele ya macho yako, dk 100 airtel kwa airtel na dk 10 mitandao yote, hakuna wizi hapo.
Ila kuna maeneo ukikaa speed ya net hairidhishi sana.
Gharama yao ikojeVodacom...tumia bandle za chuo
Gharama zao zipojeNADHANI ZANTEL WAKO POA MI MATAFUTA NIJISAJILI HALOTEL WAMENISHINDA
Wanaiba sana MB yani. Nadhani wanatoa MB kidogo halafu tunadanganywa ni 1.2GB zinayoyoma ndani ya siku mbili tu huna kitu unaambiwa umebakiza MB 5 mara wanakukatia huduma. Halotel ni weziiiiiiii mbayaaaa!!!!