Halotel wameishiwa Pumzi kwenye internet

Halotel wameishiwa Pumzi kwenye internet

Hao ttcl wana simcards mkuu?

Kwa Dar Halotel hawajawahi kufanya vizuri hata kwa sekunde kadhaa tu, hovyo kabisa.
Wanaishia kuweka internet nzuri maeneo ambayo matumizi yake ni watu kudownload nyimbo kwenye simu tu badala ya kutajeti maeneo yenye matumizi makubwa.

Huyu mtu wao wa masoko sijui anafikiri nini.

wewe ndio hovyo, umejuaje kama maeneo waliolenga ni ili watu wapakue nyimbo? hapo dar kuna mitanadao mingi sana ambayo sehemu nying za nchi hawana kw nini usihamie huko unatokwa na povu lisilo na sababu zozote? absurd!
 
wewe ndio hovyo, umejuaje kama maeneo waliolenga ni ili watu wapakue nyimbo? hapo dar kuna mitanadao mingi sana ambayo sehemu nying za nchi hawana kw nini usihamie huko unatokwa na povu lisilo na sababu zozote? absurd!
Acha ukenge wewe au ndio mhusika mwenyewe.
Kuwa na mitandao mingi ndio uliambiwa ukimbie? Kama unaogopa ushindani unajichukuliaje.
 
Acha ukenge wewe au ndio mhusika mwenyewe.
Kuwa na mitandao mingi ndio uliambiwa ukimbie? Kama unaogopa ushindani unajichukuliaje.

ushindani wap ww una wivu na chuki unataka kila kitu upewe wewe hapo dar, unapayuka tu kama mbweha
 
Hili nalikubali last wiki nliweka mb ili nidownload movie yani hiyo speed ya kobe nikashangaa wakat zamani haikuwa hivyo
Kweli jamani, inawezekana ninapokuwa na shida ya net wanakuwa down. Inauma kwa kweli
 
Hili nalikubali last wiki nliweka mb ili nidownload movie yani hiyo speed ya kobe nikashangaa wakat zamani haikuwa hivyo

Wamikoani ndo akina nani? Hivi Dar siyo Mkoa? Haya tuambieni Paul Makonda ni Mkuu wa Jiji ama Mkoa? Hivi vitu vinawafanya hata watoto wenu wawe wanafeli mitihani maana Majiji Tanzania yako Matano Arusha, Dar, Mbeya ,Mwanza na Tanga so what special about Dar?
 
Porini ndio wapi?

Ukiona inazingua sana peleka simu garage ikafanyiwe service ipakwe glisi makopo ya kutosha.
 
Back
Top Bottom