Kapake grisi simu yako itakuwa vyuma vimekaza humo ndaniJamani nisaidieni kuhusu internet ya Halotel, sio siri inaboa mno hapa Dar, yawezekana huko porini wako njema ila Dar inaboaaa. Nadhani wameishiwa pumzi tayari, please rekebisheni kabla hatujatupa simcards zenu
Labda unaishi Kibaigwa hapa Jiji la Ar nawala sio porini tulishatupa hizo lineJamani nisaidieni kuhusu internet ya Halotel, sio siri inaboa mno hapa Dar, yawezekana huko porini wako njema ila Dar inaboaaa. Nadhani wameishiwa pumzi tayari, please rekebisheni kabla hatujatupa simcards zenu
Hiyo "Polini" inapatikana mkoa gani?Jamani nisaidieni kuhusu internet ya Halotel, sio siri inaboa mno hapa Dar, yawezekana huko porini wako njema ila Dar inaboaaa. Nadhani wameishiwa pumzi tayari, please rekebisheni kabla hatujatupa simcards zenu
Alimaanisha wa mikoani.Unavyosema "huko porini" unamaanisha wapi!?
Last tym i checked Wanaoishi porini ni wahadzabe na hawatumii simu.
Hili nalikubali last wiki nliweka mb ili nidownload movie yani hiyo speed ya kobe nikashangaa wakat zamani haikuwa hivyo
Natumia ttcl mwka wa pili huuRudini nyumbani rudini TTCL ya kizalendo zaidi
Hao ttcl wana simcards mkuu?Natumia ttcl mwka wa pili huu
Usikute hapo dar anaishi kwa shemeji yake aliyemuoa dada yake..alaf anatupigia kelele za ajabu hapaAlimaanisha wa mikoani.

