Microsoft
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 623
- 366
Airtel wao wana vocha maalum za kifurushi cha chuo,Mara nyingi zinapatikana katika maduka ya karibu au ndani ya vyuo,uzuri ni ukinunua hiyo vocha unajiunga sehemu yoyote sio lazima uwe katika mnara ulio katika eneo la chuo,vocha ya 600 ina 1.2 GB for 48hrsmwl. mziray said:Naomba unielekeze jinsi ya kujiunga kifurushi cha chuo airtel.
Nipo dar natumia halotel university offer ipo speed sana.
Na simu zao zipo poa pia naona kesho tar.29 kuna punguzo kubwa la bei.