Halotel ni ya kawaida sana siku hizi

Mkuu mbona una hasira!
Inategemeana na maeneo uliyopo!
Infact nchini Tanzania kila mtandao una changamoto zake.

Ukitaka kuzikwepa zote sahau kusuhu internet.

Sent using Jamii Forums mobile app
Internet ndio maisha kwa sasa, hamna raha kama kupata habari in real-time. Sasa ukiacha net basi urudi zama za mawe za kununua magazeti.

Usubirie matukio ya leo uyasome kesho yakiwa yamechapishwa kwenye gazeti. Kama matokeo ya mitihani ya kitaifa na selections uzisubirie ndani ya siku 3 uvizie gazeti ambalo watakuwa wamechapisha. Halikadhalika nafasi za kazi na matangazo mengine muhimu. Barua utume kwa posta, what a joke!😂😂😂

Internet ni kitu muhimu sana ila bongo hili limefanywa kama mtaji wa kuwatajirisha na kulipa madeni yao kwa kutapeli wateja. Mitandao ya simu inaona kukupa bundle kwa bei nafuu ni kama anasa. Hivyo ugharamike wewe tu wao hawana habari na wanajua mna shida lazma mtaunga tu hata kwa kulalamika. Zama za social network internet imekuwa na nguvu kuliko enzi zile za Messenger.
 
hhhhhhh we mrembo umenichekesha kwl, sio kwa huo msisitizo hhhhhh! Inaonesha umeliwa sana na majambazi wa mtandaoni hawa!
Tigo wanakula bundle Mungu hapendi ila cha kushangaza nimeanza kutumia bundle lao this week naona mambo si mabaya sana angalau Sijui wamejirekebisha
 
Tigo wanakula bundle Mungu hapendi ila cha kushangaza nimeanza kutumia bundle lao this week naona mambo si mabaya sana angalau Sijui wamejirekebisha
Tigo ukiona wameanza kuwa peti peti ujue mliwakimbia sana. Wataanzisha offer ili muwaone watu baada ya miezi 6 ni kilio! Ndio zao hao, Zantel walikuwa wanatu baby sit tukazoea ila tayari washabadilisha gia angani, sahivi unanunua GB kwa ajili ya siku 3 ukiingia insta tu umeisha, data inaenda kasi kama maji ya mtera ila ukitumia kwingine kama jf, twitter au youtube haili sana.
 
Tigo ukiona wameanza kuwa peti peti ujue mliwakimbia sana. Wataanzisha offer ili muwaone watu baada ya miezi 6 ni kilio! Ndio zao hao, Zantel walikuwa wanatu baby sit tukazoea ila tayari washabadilisha gia angani, sahivi unanunua GB kwa ajili ya siku 3 ukiingia insta tu umeisha, data inaenda kasi kama maji ya mtera ila ukitumia kwingine kama jf, twitter au youtube haili sana.
Ahahahahah kwakweli kwenye kesi ya bundle tunafirisika sana
 
Ahahahahah kwakweli kwenye kesi ya bundle tunafirisika sana
Sema ni uzwazwa tu wa watanzania. Internet ni accessory muhimu sana maana inarahisisha productivity apps ziweze kuwa na ufanisi zaidi halikadhalika Communication iwe rahisi sasa sijui kwanini mitandao inakomaa na madakika mengi ya mtandao wao kuliko cross networks na kufinya bundle za internet ili mteja aumie.
 
Soon nitavunja laini yao maana bando la siku la internet hata masaa mawili mengi limeshaisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom