The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 543
- 1,163
Bonjour
Siku hizi imekuaje naoana madogo wanapiga sana mabanda ya kutosha, Yani division one za single digit zimekuwa nyingi sana.
Yani tofauti na miaka yetu, ukipiga one utajulikana mpka ofisi ya wilaya, ila now days daaa madogo wanafahuru sana.
Kuna mdogo wangu kanipigia Banda za kutosha ana A zote za PCM, duuu.
Miaka yetu kwanza ukipiga tu division ni respect sana, yani ilikuwa sio kawaida, tofauti na miaka hii ya Hawa watoto wa Kizimkazi.
Sasa najiuliza Hawa madogo wanasoma sana au ubora wa Elimu upo juu tofauti na zamani.
Nakumbuka mwaka wangu, mm nilipiga two ya mwanzo, matokeo yakarudiwa tena, nikabahatika kula one ya mwisho, nikala chuma changu Cha PGM daaa.
Siku hizi imekuaje naoana madogo wanapiga sana mabanda ya kutosha, Yani division one za single digit zimekuwa nyingi sana.
Yani tofauti na miaka yetu, ukipiga one utajulikana mpka ofisi ya wilaya, ila now days daaa madogo wanafahuru sana.
Kuna mdogo wangu kanipigia Banda za kutosha ana A zote za PCM, duuu.
Miaka yetu kwanza ukipiga tu division ni respect sana, yani ilikuwa sio kawaida, tofauti na miaka hii ya Hawa watoto wa Kizimkazi.
Sasa najiuliza Hawa madogo wanasoma sana au ubora wa Elimu upo juu tofauti na zamani.
Nakumbuka mwaka wangu, mm nilipiga two ya mwanzo, matokeo yakarudiwa tena, nikabahatika kula one ya mwisho, nikala chuma changu Cha PGM daaa.