Kwa mtandao unao anza naona hapa wamebugi.... Sikutegemea kama watakuwa na vifurushi vya style hii.... Binafsi kwangu wacha nibaki hapa nilipo... Sijui kwa wengine...
Sijawahi ona nchi ambayo mobile data Ni bei rahisi kuliko Tanzania. Ilaumu serikali mtakavyo lakini mobile data si suluhisho la internet na haina sifa hio.
Nchi zote zilizoendelea wanatumia aina nyengine za internet wakiwa majumbani na maofisini na hutumia mobile data pale tu ambapo anakuwa mbali na internet yake.
Tunatakiwa tuilaumu na kuihimiza serikali waanze kutupa mkonga wao kwa form nyengine kama anavyofanya simbanet
Yaani Nilipita Duka Fulani hivi wamefungua Huku Maeneo YETU.. Watu wanaingia Na Kutoka Tu.. Huku wamekunja Sura.. Yale yalw
Hujasoma comment yangu vizuri nimesema mobile data umesema broadband.Tanzania haiongozi kwa bei rahisi ya internet, mimi nilipo nina unlimited internet na nalipia approximately Tshs. 30K kwa mwezi mzima na ni full broadband speed kwenye fast servers naangusha hadi kwa 20MBPs. Hizo bei za bongo ni shida tupu, hata wanao-offer broadband kama TTCL kwa mwezi ndo walewale mtu anatoa more than 200K kwa 20GB ambayo inaweza isha within a day.
Hili tatizo naona ni kwa nchi sanasana za africa tu.. Pande nyingine za dunia internet sio shida namna hiyo.
Mkuu nilijaribu kuzungumza nao,wanaonekana ni woga linapo kuja suala la tarrifs inaonekana kuna shinikizo kutoka kwa wakubwa kwamba tarrifs zao zisitofautiane sana na makampuni mengine ya simu,mimi nilifikiri Tanzania inaruhusu biashara huria kumbe si kweli, kampuni za simu nchini yana ukiritimba wa kushawishi TCRA ikubaliane na matakwa yao,kwa hiyo tusitegemee HALOTEL iwe tofauti na makampuni mengine ya simu nchini,labda tuombe Mungu wakati TTCL ikianzisha kampuni yake iwe tofauti kidogo na wengine,ikatae kuwa bulldosed u-cartel wa makampuni mengine ya simu.Baada ya kuahidi bei poa! Wakongwe waliingilia kati hivyo Viatel kalazimishwa kuwa tarriff zake zisiwe za chini sana kama walivyokuwa wamepanga na kama walivyofanya mozambic mpaka leo watu wanakula raha.Sasa kwa vile tz % kubwa ya mashirika inamilikiwa na vigogo na halotel ndani kuna vigogo aaah wameamua kuendelea kutukamua wa Tz.Nina hakika hata TTCL wakiingia na 4G yao bei haitakuwa chini.Ngoja tusubiri!!!
Mkuu nilijaribu kuzungumza nao,wanaonekana ni woga linapo kuja suala la tarrifs inaonekana kuna shinikizo kutoka kwa wakubwa kwamba tarrifs zao zisitofautiane sana na makampuni mengine ya simu,mimi nilifikiri Tanzania inaruhusu biashara huria kumbe si kweli, kampuni za simu nchini yana ukiritimba wa kushawishi TCRA ikubaliane na matakwa yao,kwa hiyo tusitegemee HALOTEL iwe tofauti na makampuni mengine ya simu nchini,labda tuombe Mungu wakati TTCL ikianzisha kampuni yake iwe tofauti kidogo na wengine,ikatae kuwa bulldosed u-cartel wa makampuni mengine ya simu.
Kwa mtandao unao anza naona hapa wamebugi.... Sikutegemea kama watakuwa na vifurushi vya style hii.... Binafsi kwangu wacha nibaki hapa nilipo... Sijui kwa wengine...
Mbona wantuletea line bila voucher
Tanzania haiongozi kwa bei rahisi ya internet, mimi nilipo nina unlimited internet na nalipia approximately Tshs. 30K kwa mwezi mzima na ni full broadband speed kwenye fast servers naangusha hadi kwa 20MBPs. Hizo bei za bongo ni shida tupu, hata wanao-offer broadband kama TTCL kwa mwezi ndo walewale mtu anatoa more than 200K kwa 20GB ambayo inaweza isha within a day.
Hili tatizo naona ni kwa nchi sanasana za africa tu.. Pande nyingine za dunia internet sio shida namna hiyo.