Halotel naona wamebugi (Huduma ya vifurushi)

Halotel naona wamebugi (Huduma ya vifurushi)

Wamenisaidia mm wa kijijin now na access Internet fresh kabisaa
 
Wamenisaidia mm wa kijijin now na access Internet fresh kabisaa

Sio wewe tu sasa hv naona raha ya kuwa na simu yangu, Edge ilikuwa inanimalizia chaji tu unafungua kitu dk zaid ya tano.
 
Unlimited yao ni hovyo sana ikifika 800MB inadrop mpaka 5kb/s:eek2: eti ndio normal speed Shit!!!..:crazy: Bora nibaki na Simba yangu..😛oa
 
Ukiona kampuni ya simu
inajiingiza kwenye biashara ya kuuza Mb 3 jua kabisa hiyo kampuni ipo ICU au kama ndiyo imezaliwa basi haina muda mrefu wa kuishi.
 
Ilibaki kidogo tu ninunue prodycts zao. Kumbe nao ni wapiga ramli tu.
 
TCRA inao wajibu wa kuthibiti viwango vya mawasiliana toka kampuni moja kwenda nyingine, hii itampunguzia mwananchi wa kawaida kuwa na rundo la line na simu.
 
Hivi mb 60 zinatosha kweli kwa huduma ya internet wiki nzima kweli au ndio mpango wa kutenganisha vifurushi vya muda wa maongezi, internet na msg?
 
Halotel sikuhizi kasi yao imeisha na ni Edge most of the time wameniudhi mimi mkazi wa kijijini maana walikua kimbilio langu ila wanaboa....... Internet yao ya kasi zaidi wanatoa mb 800 zikikata sspeed inayokuja hata kobe na kinyonga wana speed yani kifupi huwezi fanyia kitu. Bado hawajafikia kwa Vodacom na Unlimited yao ya 1000. WANA SAFARI NDEFU SANA KAMA KWELI WANATAKA KAMATA SOKO LA INTERNET BONGO.
 
Halotel sikuhizi kasi yao imeisha na ni Edge most of the time wameniudhi mimi mkazi wa kijijini maana walikua kimbilio langu ila wanaboa....... Internet yao ya kasi zaidi wanatoa mb 800 zikikata sspeed inayokuja hata kobe na kinyonga wana speed yani kifupi huwezi fanyia kitu. Bado hawajafikia kwa Vodacom na Unlimited yao ya 1000. WANA SAFARI NDEFU SANA KAMA KWELI WANATAKA KAMATA SOKO LA INTERNET BONGO.

Pole sana mkuu, upo maeneo gani?
 
Halotel hawajajipanga vizuri.

Nimenunua vocha zao, nimeongeza salio, kila nikijiunga na kifurushi inakataa, menu inarudi ile ile.
 
Mie nilipoona tariffs zao pale mwanzoni kabisa wala sikupoteza muda wangu ... heri nijibakie na voda yangu
 
Halotel sikuhizi kasi yao imeisha na ni Edge most of the time wameniudhi mimi mkazi wa kijijini maana walikua kimbilio langu ila wanaboa....... Internet yao ya kasi zaidi wanatoa mb 800 zikikata sspeed inayokuja hata kobe na kinyonga wana speed yani kifupi huwezi fanyia kitu. Bado hawajafikia kwa Vodacom na Unlimited yao ya 1000. WANA SAFARI NDEFU SANA KAMA KWELI WANATAKA KAMATA SOKO LA INTERNET BONGO.

Kuna point katika andiko lako, hawa watakuja kuwa kama sasa tel washukuru wamekuja kipindi ambacho watu wengi wanatumia internet ila hawateleta upinzani wowote kwa mitandao iliyokuwepo hasa tigo!
 
Back
Top Bottom