Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,142
- 45,808
Yani halotel kama ni mwanaume basi hana mwanamke mpaka anakosa mtu wa kumtumia texts anaamua kutuma tu upuuzi
Wakuu tokea juzi hawa halotel wamekua wakinisumbua.nanunua kifurushi mb 240 za jamii forum na whatsapp tu cha ajabu kila muda wananitumia ujumbe kuwa nimemaliza mb akati bado zipo naendelea kutumia
Mara waseme zipo tano,natuma JF mpaka nachoka haziishi tu
Jana nimeweka vocha ya elfu 3
Mara ya kwanza wakesema zimebaki 5 nikanunua zingine 240 baada ya muda naambiwa zimeisha nikanunua tena baada ya muda tena wanasema zimeisha
Saivi tena wamenitumia ujumbe zimebaki 5 nimetumia ni nusu saa sasa haziishi
Hivi na nyie mnapata usumbufu huu ?
Wakuu tokea juzi hawa halotel wamekua wakinisumbua.nanunua kifurushi mb 240 za jamii forum na whatsapp tu cha ajabu kila muda wananitumia ujumbe kuwa nimemaliza mb akati bado zipo naendelea kutumia
Mara waseme zipo tano,natuma JF mpaka nachoka haziishi tu
Jana nimeweka vocha ya elfu 3
Mara ya kwanza wakesema zimebaki 5 nikanunua zingine 240 baada ya muda naambiwa zimeisha nikanunua tena baada ya muda tena wanasema zimeisha
Saivi tena wamenitumia ujumbe zimebaki 5 nimetumia ni nusu saa sasa haziishi
Hivi na nyie mnapata usumbufu huu ?