The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Binafsi nilikuwa mtumiaji mzuri wa mtandao wa Tigo, baada ya kuona wanazingua nikahamia voda nao pia nikawahama baada ya kupandisha vifurushi vyao na kuanza kunyonya mb km wananyonya maziwa, baada ya voda nikahamia halotel ambayo niliona ni wakombozi halisi kwani vifurushi vyao ni affordable lkn pia MB hazikimbii km ilivyo Tigo na Voda.
Tatizo limeanza
Majuzi nilijiunga kifurushi wakanipa GB 1, sija download chochote chenye ukubwa wa kushangaza kama kawaida yangu, lkn nimekuja kuta mb zimeisha, yaani nimeingia Jf tu mb kwisha, na kilichonipa wasi wasi ni pale nilicheki salio, mara ya kwanza nimecheki nikakuta mb 146 nikashangaa sikuamini, kucheki tena nikakuta 110, nikacheki tena ikabaki 0 baadaye nacheki imerudi 94.
Unaweza ukaona hapo wizi wenyewe ulivyo, mtu anaweza akasema ni matumizi yangu lkn ukweli ni kwamba mpaka nalalamika it means kuna mchezo mchafu wameuanza, jana usiku nimejiunga GB1 hapa nnavyoongea zishabaki mb300, na hakuna vurugu zozote kubwa nimefanya, nmewapigia wananiambia niangalie data usage, sasa najiuliza hiyo data usage nani kabadilisha, wkt cm yangu muda mwingi ninayo mimi mwenyewe. Naomba wakuu mnijuze tatizo hili ni mimi tu au na nyie limewakumba.
Tatizo limeanza
Majuzi nilijiunga kifurushi wakanipa GB 1, sija download chochote chenye ukubwa wa kushangaza kama kawaida yangu, lkn nimekuja kuta mb zimeisha, yaani nimeingia Jf tu mb kwisha, na kilichonipa wasi wasi ni pale nilicheki salio, mara ya kwanza nimecheki nikakuta mb 146 nikashangaa sikuamini, kucheki tena nikakuta 110, nikacheki tena ikabaki 0 baadaye nacheki imerudi 94.
Unaweza ukaona hapo wizi wenyewe ulivyo, mtu anaweza akasema ni matumizi yangu lkn ukweli ni kwamba mpaka nalalamika it means kuna mchezo mchafu wameuanza, jana usiku nimejiunga GB1 hapa nnavyoongea zishabaki mb300, na hakuna vurugu zozote kubwa nimefanya, nmewapigia wananiambia niangalie data usage, sasa najiuliza hiyo data usage nani kabadilisha, wkt cm yangu muda mwingi ninayo mimi mwenyewe. Naomba wakuu mnijuze tatizo hili ni mimi tu au na nyie limewakumba.
