Halotel kunani?

Halotel kunani?

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,757
Moja kati ya biashara ambazo zinaenda kwa promotion bila kupumzika mwaka mzima ni Telecom, ikifuatiwa na makampuni ya Bia, na Mabenki. Haipiti miezi mitatu utaona promosheni za bidhaa kutoka Voda, Tigo na Airtel.

Hasa mtanange kubwa nauona kwa Tigo na Vodacom; huyu akija na hiki, yule naye analeta chake, basi soko linachangamka na sisi watumiaji tunafaidikia na kurahisishiwa huduma mbalimbali.

Sasa hawa Wavietnam Halotel ni muda sasa, miezi kama miwili sikosei, sisikii matangazo yao redioni kwenye televisheni wala hawana bidhaa mpya sokoni, yaani hawana makelele kama wenzao ambao wako kwenye ushindani.

Maswali:
  1. Timu ya Marketing haina Mbinu/bidhaa ya kuinadi sokoni?
  2. Timu ya commercial wameishiwa mbinu/mikakati za kubuni bidhaa?
  3. Wameshindwa kuhimili soko la ushindani?
  4. Wanajihujumu wenyewe?
 
Alafu saizi vifurushi vyao vinatembea kama vinasombwa na mafuriko.
Jana nimewapigia simu kulalamikia bando linavyotembea mwendo wa Hussein bolt wananiambia ngoja tumtafute mtaalamu wetu atakupigia tunachukua no.yako.
Mpaka leo hawajapiga.Hovyo sana siku hizi.
 
Alafu saizi vifurushi vyao vinatembea kama vinasombwa na mafuriko.
Jana nimewapigia simu kulalamikia bando linavyotembea mwendo wa Hussein bolt wananiambia ngoja tumtafute mtaalamu wetu atakupigia tunachukua no.yako.
Mpaka leo hawajapiga.Hovyo sana siku hizi.
hahahah vifurushi kama mnashare ukoo mzima hata nusu saa haifiki
 
Labda uko na wadau wengi wenye tigo ila vifurushi vya call kwa halotel vimeshiba hasa
SUPAHALO
hainaga majoto
ninachozungumzia ni product promotions, nikiwa na maana miezi miwili sasa sisikii matangazo yao kwenye redio yoyote ile,
hapo Majotroo lazima yawepo, mnaendeshaje biashara bila kuwa na hot product sokoni
 
kampuni NAFUU ya simu za mkononi kwa kwa sasa nchini ni TTCL, iwe internet, kupiga , SMS, ukitaka kujiridhisha MTAFUTE MTU ANAYEMILIKI LAINI ya TTCL, usisikilize mtu anyekwambia kwa kudhania
 
mfano hata kama wewe unashinda muda mwingi na internet, KIFURUSHIcha sh.25 00 huwezi kumaliza kwa siku 3, labda uwe umedhamiria kupofusha macho kwa kuangalia komputa kabla 2019 haujaisha
 
Alafu saizi vifurushi vyao vinatembea kama vinasombwa na mafuriko.
Jana nimewapigia simu kulalamikia bando linavyotembea mwendo wa Hussein bolt wananiambia ngoja tumtafute mtaalamu wetu atakupigia tunachukua no.yako.
Mpaka leo hawajapiga.Hovyo sana siku hizi.


Siku hzo vifurushi vyao vinaisha ndan ya masaa 8had 10 .sio 24 hrs tena
 
But still kwenye market share ameshampiga chini TIGO....
ninachozungumzia ni product promotions, nikiwa na maana miezi miwili sasa sisikii matangazo yao kwenye redio yoyote ile,
hapo Majotroo lazima yawepo, mnaendeshaje biashara bila kuwa na hot product sokoni
 
kampuni NAFUU ya simu za mkononi kwa kwa sasa nchini ni TTCL, iwe internet, kupiga , SMS, ukitaka kujiridhisha MTAFUTE MTU ANAYEMILIKI LAINI ya TTCL, usisikilize mtu anyekwambia kwa kudhania
nikienda Nanjilinji mtandao bado unakamata na kwa kasi ile ile, je vipi availability hasahasa kwenye vocha kule Laela zipo..?
 
Back
Top Bottom