Halotel kuna shida ya mtandao au???

Halotel kuna shida ya mtandao au???

Halotel ni tatizo,ukijaribu kufuatilia utagundua kuwa kipindi mvua ikinyesha mtandao wao unasumbua sana,ukiwa Dodoma hali ni mbaya zaidi,unakuwa maeneo ya katikati ya mji lakini mtandao uko very unstable sijui wana shida gani.
 
Halotel ni tatizo,ukijaribu kufuatilia utagundua kuwa kipindi mvua ikinyesha mtandao wao unasumbua sana,ukiwa Dodoma hali ni mbaya zaidi,unakuwa maeneo ya katikati ya mji lakini mtandao uko very unstable sijui wana shida gani.
Inawezekana kuna kaukweli maana tangu Jana usiku huku nilipo kuna mawingu na mvua ndo imeanza kunyesha sahivi.
 
Halotel wameshaanza upumbavu kama voda wajinga sana hawa tangu asubuhi internet inasumbua
 
Wakuu naomba kuuliza. Tangu Jana usiku simu yangu iko slow Sana mpaka sahizi inaload kwa muda mrefu Sana. Tatizo ni Halotel au??
Sasa mimi nimekumbana na tatizo yani nikituma sms kwa mtu wa tigo zinaenda kaa watu tofauti randomly yani from halotel to tigo zinaenda namba za tigo randomly.
yani nimeanza kushangaa namba mpya mpya naulizwa we nani na nikiuliza we unaniuliza nani wakati ndiye uliyenitxt najibiwa si umenitumia msg hii...
sasa hivi wametimia watu 12, na nimepiga huduma kwa wateja ilifika muda wa bonyeza 0 kuongea na mhudumu ukibonyeza ina jidisconnect...
 
Back
Top Bottom